Apumzike kwa amani mzee Mwinyi, niliwaza habari yake mchana huu!
 
Mzee Mwinyi alikuwa mwadilifu
 
Alale mahala pema peponi mzee Mwinyi hakua na ubaya na mtu , alikua mchamungu na mpenda Haki.
Ni kweli kabisa huyu mzeeataenda mbinguni. Hivi na yeye pia kwenye utawala wake alitia sahihi ya wahalifu kunyongwa?Kama alifanya hivyo alifanya vema sana. Nyerere naye nilimsifu alinyonga kwa kutia sahihi. Kikwete, mkapa na magufuli walituangusha. Mama inabidi anyonge wengi kwa kutia sahihi. Watu wamezidi kuwa makatili sana. Yani unakuta wanamteka dereva wa bodaboda na kumuua kumtoboa macho. Mama nyonga bila huruma usisikize human rights
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…