TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Tuliwasimanga sana Chadema Wakati wa msiba wa Lowassa na ile ajali ya Arusha

Je, Jumamosi siku ya mazishi ya mzee Mwinyi Uwanja wa Mkapa ufungwe?

Ni hilo tu Komredi Lucas

Mlale Unono 😀😀
 
wa kwenda mpirani Tutaenda na wa msibani wataenda, Kila mtu ahudhurie panapo mpa amani
 
Screenshot_2024-03-01-02-01-31-1.png



Hii ndio Taarifa ya Serikali iliyosambazwa kwa vyombo vya habari usiku huu, Kwamba Mzee huyu ataagwa na Wananchi wenzake kwenye Uwanja wa Uhuru tarehe 1/3/2024, kuanzia saa 8 Mchana , kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Zanzibar kwa Mazishi yaliyopangwa kufanyika Tarehe 2 March.

Apumzike kwa Amani
 
MSIBA MZITO Kwa Taifa.
Rais Mstaafu wa JMT.
Baba mzazi wa M.Kiti wa Baraza la Mapinduzi.
Mkuu wa chuo bora cha Afya Tanzania (Muhimbili).

Siku ya kukumbuka kifo chake itakuwa kila baada ya miaka minne ... (Miaka yenye mwezi wa pili wenye siku 29 tu)
View attachment 2920492

Hii picha ili trend kipindi cha msiba wa Rais John Pombe.
Siyo siku ni tarehe! Siku aliyokufa ni Alhamisi, tarehe ni Februari 29
 
Back
Top Bottom