Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kote ni kwetu, dunia ni yetu, (kuna political will) hapa ambayo ni lazima iheshimiwe!Mzee wetu asili yake ni Tanganyika...Tanganyika ipewe ndugu yao
Kila Mtu ana mapungufu yake.Mtu wa kwanza kuuza wanyama pori hai uarabuni
KwaniniHapatakalika narudia tena hapatakalika
Hivi huyu ndiye ali-oversee kuuzwa kwa Ngorongoro?, ana uhusiano na mama aliyekamatwa na vipusa? May His soul rest in peace.Mzee ruksa hana baya, ameumaliza mwendo. Aombewe pumziko jema
Nasikia alizaliwa Mkuranga (na aliacha usia azikiwe hapo?). Kwanini anapelekwa kuzikwa nchi ya kigeni?Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi atazikwa tarehe 2 Machi 2024 huko Unguja, kisiwani Zanzibar."
Bado nayy cku yake itafikaKuna bwana aliwahi kusema wazuri hawafi .
Siyo siku ni tarehe! Siku aliyokufa ni Alhamisi, tarehe ni Februari 29MSIBA MZITO Kwa Taifa.
Rais Mstaafu wa JMT.
Baba mzazi wa M.Kiti wa Baraza la Mapinduzi.
Mkuu wa chuo bora cha Afya Tanzania (Muhimbili).
Siku ya kukumbuka kifo chake itakuwa kila baada ya miaka minne ... (Miaka yenye mwezi wa pili wenye siku 29 tu)
View attachment 2920492
Hii picha ili trend kipindi cha msiba wa Rais John Pombe.
Alihama na kupata wenza huko.Hawajamtendea haki kwenda kumzika unguja wakati kwao ni hapo mkuranga.