Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣🤣🤣🔊Tunahitaji Mzee Azikwe Huku Mkuranga Ili Tupate Maendeleona sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🔊Tunahitaji Mzee Azikwe Huku Mkuranga Ili Tupate Maendeleona sisi.
Labda Wewe mwislamu wa Hamas.. Sisi tunaaga tuuSisi waislamu huwa hatuagi.....,
Tunaenda kumzika BupuTunahitaji Mzee Azikwe Huku Mkuranga Ili Tupate Maendeleona sisi.
Ni kutokuwa makini tu ndo kumesababisha watangaze siku hii. Tunahitaji kumkumbuka mwendazake Mstaaru Ali Mwinyi kila tarehe ya kifo chake. Hawakufikiria hili wametangaza tarehe ambayo inakuja kila after 4 years.
Haya mambo yanahitaji mtu mwelewa awe anafuatilia hizi tarehe na matukio yake. Kwa nini hawakuamua kutangaza tarehe 28/02 au kabla ya hapo? Au wangevuta subra mpaka tarehe 1?
Kwani ilikuwa inafichwa ??!At last wametangaza
Samia hataki uongo kama wa majaliwa, ma CCM mmezoea uongo uongo tuu hadi na weee unakuja hapa kutaka rais Samia nae atudanganye.Ni kutokuwa makini tu ndo kumesababisha watangaze siku hii. Tunahitaji kumkumbuka mwendazake Mstaaru Ali Mwinyi kila tarehe ya kifo chake. Hawakufikiria hili wametangaza tarehe ambayo inakuja kila after 4 years.
Haya mambo yanahitaji mtu mwelewa awe anafuatilia hizi tarehe na matukio yake. Kwa nini hawakuamua kutangaza tarehe 28/02 au kabla ya hapo? Au wangevuta subra mpaka tarehe 1?
Wapi hapatakalika mkuu?Hapatakalika narudia tena hapatakalika
Sisi waislamu huwa hatuagi.....,
Unapendelea kujitekenya?Kesho nafungua kesi ya kupinga mazishi ya mzee Ali Hassan Mwinyi kufanyika Unguja Zanzibar.
Hamas wanaaga na sura wanaiacha wazi kabisaLabda Wewe mwislamu wa Hamas.. Sisi tunaaga tuu
Dahhhhh....Kati ya UPUUZI watanzania Wengi wanaaminishana ni kwamba Kila kiongozi ikitangazwa Kafa, Basi ni Uongo, alikufa kabla....ukiwauliza sbb na proof watakutaji nyimbo, Hivi kweli wimbo wa maombolezo ndio Uingie kwenge uongo mkubwa hivyo?
Kama ni kweli basi ni ubogas.
Yaani tayari umeandika kama una uthibitisho kua alifariki kabla..
Daaaa.
Hao akina Msechu inajulikana ni wazee wa Nyimbo za Maombolezo, ukute wana Nyimbo nyingi tuu zishasetiwa ni kuchomeka tu majina.
R.i.P Classmate....😥Walishapewa ruksa na marehemu
Huyo luka ni zaidi ya changamoto, asipoambulia hata uded basi dunia haina huruma 😂😂😂[emoji1] dr umeona isiwe tabu
Ova