Mzee baba unataka upange hadi tarehe ya mtu kufariki?
 
Samia hataki uongo kama wa majaliwa, ma CCM mmezoea uongo uongo tuu hadi na weee unakuja hapa kutaka rais Samia nae atudanganye.
 
Kati ya UPUUZI watanzania Wengi wanaaminishana ni kwamba Kila kiongozi ikitangazwa Kafa, Basi ni Uongo, alikufa kabla....ukiwauliza sbb na proof watakutaji nyimbo, Hivi kweli wimbo wa maombolezo ndio Uingie kwenge uongo mkubwa hivyo?
Kama ni kweli basi ni ubogas.

Yaani tayari umeandika kama una uthibitisho kua alifariki kabla..
Daaaa.

Hao akina Msechu inajulikana ni wazee wa Nyimbo za Maombolezo, ukute wana Nyimbo nyingi tuu zishasetiwa ni kuchomeka tu majina.
 
Hivi ule ugomvi waliosema unaamuliwa umeshaisha au..?

Hata hivyo lile benzi la zawadi ya birthday waliuze wajenge madaraja πŸ˜„
 
Dahhhhh....
Mkuu, naona umeamua kufoka kamili bado alfajiri..🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…