Mpaka hapo sijaona ratiba naona taarifa
 
Ana siku nying ameondoka mzee wetu, nadhani ndo taratibu kutangaza baada ya muda kupita huku wakiweka mambo sawa.
Hakuna kitu kama hicho !
Kwani wafiche nini ?
Yeye hakuwa sitting President !
Huwa zinacheleweshwa habari za vifo vya Sitting Head of States kwa sababu za kiusalama !
Lakini kwa mstaafu huwa hakuna kuficha kitu. !!
Kwa sababu huwa hakuna sababu zozote za kiusalama !!
Na kwa Mwislamu hata hiyo protokali itafanyika kwa kuzingatia sheria za dini ambazo haziruhusu marehemu kuwekwa muda mrefu bila kuzikwa !

Ndio maana unaona imeshatangazwa kwamba mzee wetu atazikwa tarehe 2 march 2024 !!
 
Kwa hiyo walichelewa kutangaza kifo chake mpaka muafaka uliopatikana juu ya kuzikwa jati ya chaguo lake Mkulanga ña la Hussein
 
Walisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
Kwao ni zanzibar !
Huko Mkuranga labda ni kwa Babu na Mababu waliopita. !

Kama vile Obama huwezi ukasema kwao ni Kogelo Kisumu Kenya !

Kule Kogelo ni kwa Baba yake na Babu Zake !
Hata sisi hapa Tanganyika ni wahamiaji tu kutoka sehemu mbali mbali za Bara hili na Dunia hii. !
🙏🙏
 
Enyi majizi, matapeli na mafisadi ya Mali za umma, maisha ya mwanadamu ni hadithi tu. Pumzika mwinyi.
 
Si kweli kwamba taarifa za kifo chake zimekuwa staged
Ingechaguliwa tarehe nzuri ili akumbukwe kila mwaka . si kila mwaka una 29 feb!
Mzee mwinyi alishakufa kitambo hii ya Jana ilikuwa ni ku officialize tu
 
MHSRIEP 🙏🏼
 
Katika vitu ambavyo dola ipo makini sana ni kuepusha taharuki

oamoja na maisha ya faragha ya Mzee Mwinyi lakini walipogundua safari inakaribia ilibidi watangaze Mzee anaumwa na tunaomba Mumuombee

hii ilikuwa ni kuliweka Taifa Mkuu sawa na ndio sababu taarifa hii tumepokea kwa masikitiko ila sio kwa Mstuko mkubwa

ilifanyika hivyo kwa Kambrage na kwa Magufuli japo kwa style tofauti

kwa Mzee Mkapa haikuwezekana kwa kuwa ilikuwa ghafla sana na Mwamba JPM hakuamini sana hizo protocol
 
Walisema mzee aliacha wosia wake kuwa azikwe kwao Mkuranga; imekuwaje watoto wamedharau matakwa ya marehemu?
Kuna athari gani kwa familia wanapokiuka matakwa ya marehemu kama yalivyoainishwa kwenye wasia wake?
MWINYI sio mzanzibar ni wa mkuranga kumzika zanzibar ni kumlazimisha aonekane ni mzanzibar na pia mwanae ambaye ni rais kule aonekane ni mzanzibar shida yote ni Magufuli kumpa hussein urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…