Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Huna akili huyo Marekani unaye msema rais wake sialisha wahi kupingwa risasi na kuuawa na mhuni wa mitaani ?saa nyingine mtumiage akili.
 
Iran ni Jamhuri ya kiislamu, Rais ndio kiongozi wa serikali, Ayattollah ni mkuu wa nchi, mfumo wao unataka kufanana na Uingereza.

Kimadaraka Rais wa Iran ni wa pili kimadaraka lakini yeye ndio mwenye serikali.
 
Sasa hivi ni giza Iran na bado Mzoga wa Ayatolah haujapatikana.

AMANI inarejea Mashariki ya Kati.
Amani ipi mbona hata kutengeneza silaha anabanwa?
Na huyo ni Raisi sio Ayatolah
Maisha haya kuwa na mapenzi zaidi ni shida aisee yaani
Na huko DRC jamaa wameshindwa kumpindua Rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…