ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Jemedari ameondoka, kuna utofauti ila wote wanakubaliana kuwa Mohamad ni nabii wa Allah, tofauti yao ipo nani anatakiwa kuwa khalifa(kiongozi) baada ya mtume kufaWashia kuswali kwao tofauti na Sunni. Peace be upon our Imam not the prophet.
adriz mjingamimi ielewemitaa Jagina Accumen Mo Malaria 2 inamankusweke
Kagombee urais we muajemi wa Mafisa kwa Mambi.naam.mkiristo akifa ni hasara kwake
Huu ni msiba mkubwa kwa umma wa waislamu kote dunianiKumbe hmna unachojua huyo ni nan kweny picha ?
Ikiwa ni jembe lipasuaji la makalio imekuwaje likafa kizembe hivyo?Hili jembe halikupaswa ku Quit mapema hivi, marekani ilikuwa imepata mpasuaji makalio yao, hahaha
Una matatizo ya akiliNani kaielekeza ndege Moja tu ya Rais Kwenye ukungu? 🐼
Ndio swali tunalojiuliza wahenga 😂
Helikopta hiyo ni miongoni mwa helikopta tatu zilzokuwa katika msafara huo, ambapo mbili inaelezwa zilitua salama.
Hiyo shida ndiyo imewauaHaa imekuwaje tena Si tuliambiwa Hiyo Helicopter imetua kwa Shida... ..?
Hatuna uhakika mkuuMhhhh
Hapa kuna wa Israel kabisaa
Nilikuwa namkubali sana huyo waziri wao wa mambo ya nje, Mungu amrehemu.#HABARI Rais wa Iran Ebrahim Raisi pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili Kaskazini-Magharibi mwa Iran hii ni kwa mujibu wa runinga ya Taifa hilo.
Taarifa za awali zilieleza kuwa hali mbaya ya hewa ikiwemo ukungu katika eneo ilipotokea ajali hiyo, ulifanya helikopta hiyo kushindwa kutua wakati Rais huyo na ujumbe wake wakielekea mji wa Tabriz uliopo Kaskazini Magharibi mwa Iran.
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu mapema leo waokoaji walilipata eneo ilipoanguka helikopta hiyo na kuelezwa kwamba ulikuwa imeteketea kabisa.
Helikopta hiyo ni miongoni mwa helikopta tatu zilzokuwa katika msafara huo, ambapo mbili inaelezwa zilitua salama.
#EastAfricaTV
Hivi kama Kuna ukungu na ndege/helikopta isionekane kwenye radar ndio inaanguka? Si rubani anabaki anazunguka huko Juu ama zinaruka jirani sana na Ardhi kiasi Cha kugomga milima?
Ingekuwa kufa ukiwa wa muislamu ndio tiketi ya kuingia mbinguni maisha ya kiimani yangekuwa mepesi sana.kafa akiwa muislam. Muonee huruma aliekufa akiwa sio muislam
They flew during a foggy weather, it’s common for helicopter to crash during this weather. Wouldn’t the pilot know that? I believe they are also well informed about it before they decided to just go anyway.Jinga, how if Iran itself played......