Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Acha akawatembeze borrow wale mabikira 72,dini ya ajabu sana hii, ni bora uishi na mpagani mara 1000,sio hawa watu.

"There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).’”
حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ الأَزْرَقُ أَبُو مَرْوَانَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا خَالِدُ بْنُ يَزِيدَ بْنِ أَبِي مَالِكٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ أَبِي أُمَامَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ مَا مِنْ أَحَدٍ يُدْخِلُهُ اللَّهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ زَوَّجَهُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ ثِنْتَيْنِ وَسَبْعِينَ زَوْجَةً ثِنْتَيْنِ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ وَسَبْعِينَ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ مَا مِنْهُنَّ وَاحِدَةٌ إِلاَّ وَلَهَا قُبُلٌ شَهِيٌّ وَلَهُ ذَكَرٌ لاَ يَنْثَنِي ‏"‏ ‏.‏ قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏
English reference : Vol. 5, Book 37, Hadith 4337
Arabic reference : Book 37, Hadith 44
 
Screenshot_20240520-092218.jpg
 
#HABARI Rais wa Iran Ebrahim Raisi pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili Kaskazini-Magharibi mwa Iran hii ni kwa mujibu wa runinga ya Taifa hilo.

Taarifa za awali zilieleza kuwa hali mbaya ya hewa ikiwemo ukungu katika eneo ilipotokea ajali hiyo, ulifanya helikopta hiyo kushindwa kutua wakati Rais huyo na ujumbe wake wakielekea mji wa Tabriz uliopo Kaskazini Magharibi mwa Iran.

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu mapema leo waokoaji walilipata eneo ilipoanguka helikopta hiyo na kuelezwa kwamba ulikuwa imeteketea kabisa.

Helikopta hiyo ni miongoni mwa helikopta tatu zilzokuwa katika msafara huo, ambapo mbili inaelezwa zilitua salama.

#EastAfricaTV
Nilikuwa namkubali sana huyo waziri wao wa mambo ya nje, Mungu amrehemu.
 
kafa akiwa muislam. Muonee huruma aliekufa akiwa sio muislam
Ingekuwa kufa ukiwa wa muislamu ndio tiketi ya kuingia mbinguni maisha ya kiimani yangekuwa mepesi sana.

Yana hata nikiwa jambazi na nikawauwawa kwenye mipigo yangu na vile ni muislamu basi mbinguni moja kwa moja. WTF?!!

Halafu nikiwa wa sio muislamu ila natenda yote mema yanipasayo kutenda kwa Mungu na Wanadamu basi mimi ni wa motoni?!

NITAKUWA WA MWISHO KUAMINI NI KICHWA KIMETUMIKA KUFIKIRI NA SIO KIUNGO KINGINE CHA MWILI.
 
Jinga, how if Iran itself played......
They flew during a foggy weather, it’s common for helicopter to crash during this weather. Wouldn’t the pilot know that? I believe they are also well informed about it before they decided to just go anyway.

You don’t need conspiracy to see that the weather is already foggy.
 
Hawa jamaa inasemekana wapo advanced sana kwenye technology hasa ya kutengeneza vifaa vya kivita kama mabomu...ila kwenye vifaa vya anga kama ndege wanasingizia vikwazo walivyowekewa ndiiyo vimesababisha ndege zao kuwa chakavu kwa kukosa spare...kiukweli nawaona wapo overrated , ni wepesi sana
 
Back
Top Bottom