Ayatollah ni kiongozi mkuu, kama alivyokuwa
Mkuu mbona umechafukwa hivi,
Hao jamaa ni wazembe sana,
kuna mdau humu amesema hiyo chopa hata Nape asingekubali kuipanda,
Ni wajinga, halafu walivyo wapuuzi wanapiga picha kwenye media, eti ziara, Trump alimla kichwa Sukeiman hivi hivi na drone pale Iraq, wakatuma tubomu kwenda Iraq kwenye military base ikawa imeisha hivyo, general mkubwa kama yule anauawa unaenda kupiga vyuma eti unaonyesha hauna unyonge, maisha ya mtu kama yule na mchango wako kwenye jeshi, wananchi na nchi ya Iran kifo chake cha kikatili unarusha tukombora tena unawaambia eti nashambulia, askari wote wakaingia kwenye mahandaki, kama si u$3ng3 ni nini?
Haya hapo Syria ubalozi unapigwa wanakufa watu 7 tena wakubwa kwenye serikali ya Iran, Israel wamefanya hilo shambulizi, eti kisasi unatuma missiles zinapia running way za airport na shehena za silaha, yaani unapiga vyuma chakavu lwamba ndio kisasi, kama sio wendawazimu ni nini? Halafu bado hapo hapo unawaambia eti nitawashambulia, si u$3ng3 huo?
Wanashindwa hata kutuma kikosi maalumu kuingia tel aviv kufanya ujasusi na kuua hata officials wa Israel? Wanashindwa hata ku target nyumba ya kiongozi wa jeshi ama serikali ya Israel kwa missiles kimya kimya?
Iran ambayo nilikua naielewa ni ya Mahmoud Ahmadinejad, yule ndiye alikua mwamba.
Iran kuna mizee pale itolewe tu, wanausalama mnamshauri rais apande ndege kama ile kweli? Jamaa pumbaf kabisa.
Na wataendelea kunyofolewa kila siku huku wakilipiza kwa kupiga ndege na magari, US wanna print pesa hamna hasara utawafanyia.