Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Kwa hiyo unataka kabisa ndgu yangu watu watoe mpaka siri za mifumo ya kiintelijensia nchini kwao? au waanike siri zao kama komando wenu muuza madafu Never happen in this World!
Muulize wale Engineer wa Nyuklia wa Iran walikuwa wanauliwa Tehran

Israel iliwahi kujitangaza kwamba wanahusika
 
Unawapenda sana wayahudi ee
 
Ayatollah ni kiongozi mkuu, kama alivyokuwa
Mkuu mbona umechafukwa hivi,
Hao jamaa ni wazembe sana,
kuna mdau humu amesema hiyo chopa hata Nape asingekubali kuipanda,
Ni wajinga, halafu walivyo wapuuzi wanapiga picha kwenye media, eti ziara, Trump alimla kichwa Sukeiman hivi hivi na drone pale Iraq, wakatuma tubomu kwenda Iraq kwenye military base ikawa imeisha hivyo, general mkubwa kama yule anauawa unaenda kupiga vyuma eti unaonyesha hauna unyonge, maisha ya mtu kama yule na mchango wako kwenye jeshi, wananchi na nchi ya Iran kifo chake cha kikatili unarusha tukombora tena unawaambia eti nashambulia, askari wote wakaingia kwenye mahandaki, kama si u$3ng3 ni nini?

Haya hapo Syria ubalozi unapigwa wanakufa watu 7 tena wakubwa kwenye serikali ya Iran, Israel wamefanya hilo shambulizi, eti kisasi unatuma missiles zinapia running way za airport na shehena za silaha, yaani unapiga vyuma chakavu lwamba ndio kisasi, kama sio wendawazimu ni nini? Halafu bado hapo hapo unawaambia eti nitawashambulia, si u$3ng3 huo?

Wanashindwa hata kutuma kikosi maalumu kuingia tel aviv kufanya ujasusi na kuua hata officials wa Israel? Wanashindwa hata ku target nyumba ya kiongozi wa jeshi ama serikali ya Israel kwa missiles kimya kimya?

Iran ambayo nilikua naielewa ni ya Mahmoud Ahmadinejad, yule ndiye alikua mwamba.

Iran kuna mizee pale itolewe tu, wanausalama mnamshauri rais apande ndege kama ile kweli? Jamaa pumbaf kabisa.

Na wataendelea kunyofolewa kila siku huku wakilipiza kwa kupiga ndege na magari, US wanna print pesa hamna hasara utawafanyia.
 
Kabisa mkuu, yaani ukijisahau tu wanakula kichwa.

Helicopter ile haina tofauti na ile ya Mbowe anayofanyia kampeni.

Haya achana na Russia China mbona kwenye aircrafts tech wapo mbali, wanashindwa pia kutumia ndege zao.

Jamaa wanashangaza sana, kiukweli hata proxies wao hapo middle east wataona ni wajinga.
 
Helcopter yenyewe kwa macho tu hata nape asingekubali kupanda😁😁.

Hawa waajemi miyeyusho tu,wanafanya niwadharau kuliko nilivyokuwa nawadharau mwanzo,si ajabu wakarusha mabomu 100 siku ile halafu mengine yakanasa kwenye nyaya za umeme.
Ukiachana na mambo mengine.. Nape hawezi kupanda ndege kama ya Huyo Rais wa Iran . Mjanja sana Nape..😁
 
Mkuu,
Naomba ajira ya kwenye maroli yako nimechoka kua jobless
 
"Wala Mayahudi hawatakuridhia wewe (Ewe Mtume) wala Manasara (Wakristo) mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika mwongozo wa Mwenyezi Mungu ndio mwongozo (wa haki). Na kama ukifuata matamanio yao baada ya elimu iliyokujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu." (Qur'ani 2:120)

Tafsiri ya aya hii inabainisha kwamba Wayahudi na Wakristo hawataridhika na Muislamu mpaka awafuate katika dini yao. Hivyo, Waislamu wanakumbushwa kwamba mwongozo wa haki ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu tu, na wasifuate matamanio ya watu wengine baada ya kupata elimu sahihi ya Uislamu.

Aya hii inawapa Waislamu onyo na ushauri wa kutokubali shinikizo la kufuata mila au njia za dini nyingine na badala yake wazingatie mwongozo wa Mwenyezi Mungu, ambao ndio wa haki na sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…