Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Nantahulila unachanganya madesa , hicho ulicholeta hakihusiani na nchi hii ya kulazimishwa kwa nguvu
 
Ayatolah Mkubwa ametangaza kuwa atasimamia mazishi ya Ayatolah mdogo Magaidi wa Houthi Magaidi wa Hezbola Magaidi wa Hamas Magaidi wa Kataib Hezbola na Magaidi wengine wadogo wadogo wakiwemo Magaidi ya ISIS watawakilishwa na Viongozi wao ambao wameambiwa wavae Hijabu Burka Baibui ili kuepuka Drones za Netanyahu.

Za jikoni👆
 

Huna kazi huko uliko unasubiri sadaka Za wateja kanisani ?
 
Mkuu naomba unieleweshe maana sielewi, rais wa sasa ndio anaitwa Raisi huyo kwenye picha? na huyu Ayatollah ni nani? maana hua nasikia sana jina la Ayatollah na nilijua ndie rais wa nchi, kama utawea naomba na picha za wote wawili, asante
Rais wa iran ni huyu ndugu aliyekufa kwa ajali ya ndege jina lake Ibrahim rais

Ayatollah ni kiongozi wa kidini mwenye ushawishi serkalini kumbuka iran ni taifa la kiislam baada ya mapinduzi ya 1978

Ayatollah ni km ceremonial leader huchaguliwa na baraza la watu wa dini yake

Toka iran iwe na mfumo wa kiislam nadhani huyu ni ayatollah wa pili

MNANSO
 
On behalf of bicha komwe hahaha
 
Tuko pamoja nao ndugu wa marehemu pia tunatoa pole kwa wafiwa wote
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…