Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.

Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.

Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem na waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
Azarbaijan ni rafiki mkubwa wa Israel na Iran anataka kujipendekeza na kujifanya mtu mzuri na hayo ndio majibu ambayo hayana majibu. Mauwaji ya Waisrael+++1000 nikiama kwa kila alie shiriki Israel they mean what they mean but no proof
 
Israel hawezi kusubutu kufanya hayo kwa Iran, hio imetokana na hali ya hewa mbaya au matatizo ya helicopter yenyewe inaonyesha ya zamani sana.
Kumbuka alipiga ndani ya ubolozi na akawaua majenelali.....takbirrrr
 
Hutasikia Mossad, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotojea leo katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa

Hata wachokozwe vipi si Bibi Netanyau wala hizo idara tatu muhimu za usalama Israel zikitia neno. Ni siri kubwa isiyotakiwa kufahamika na yoyote idarani wala wanasiasa waliotoa idhini, operesheni itabaki katika makabrasha yaliyofungiwa kwa fungua pacha, kufuli na Code kwa miaka kibao kwa ajili ya kuficha taarifa hizo muhimu kwa usalama wa Israel.
Waarabu wa Buza tumeumbuka
 
Kikosi cha 65 cha Kikosi Maalum cha Kikosi cha Ndege cha Iran, kilichofunzwa katika vita vya msituni, kimetumwa karibu na eneo la ajali ya chopper.
Sasa wametumwa wakapigane au? Mna mbwembwe sana nyie maamuma huku hamna lolote. Ukisoma.humu JF jinsi waajemi wa kisiwandui mnavyoisifia Iran unaweza jua kuwa ni bonge la nchi kumbe ni sawa na Somalia tu. Jamaa wapo zama za Ujima na Wameshindwa hata kufanya matazamio ya hali ya hewa kwa ajili ya kiongozi mkubwa wa nchi.

Sisi wazigua tu hatuwezi ruhusu ziara ya Bi. Kizimkazi bila kuwa na uhakika wa hali ya hewa.
 
Israel akiwa na ugomvi na Iran sababu Iran anajifanya super power nchi za kiislamu halengi raia wa Iran kivita kwake raia wa kawaida wa Iran ni Liw value targets Israel analenga High value targets magenerali wa Iran na viongozi wa Serikali ya Iran. anawaacha wananchi wa kawaida wa Iran wale maisha yao as usual

Na Israel akipiga high value target Huwa kimya hatoi press statement yeyote
Kashaliwa kichwa hiyo....bado Yule kibabu iko siku atatoka Tu kwenye shimo....
 
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.

Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya hewa.

Wengine waliokuwa kwenye helicopter hiyo ni pamoja na Governor wa East Azarbaijan, Ayatollah Al-Hashem na waziri wa mambo ya nje ya Iran Hossein Amir-Abdollahian.
Kauli yakutisha sana kutoka kwa Waziri Netanyahu. "Watu walio husikakupanga na kufanikisha na mauwaji ya Waisrael mwaka jana ni maiti zinazo tembea" hii kauli hii itaacha vilio vingi sana pasipo majibu
 
Iran nchi ya watu wajinga pia, jamaa hafatilii utabili wa hali ya hewa
Mkuu naweza sema mjinga ni wewe.
Hilo eneo la huo ukanda siku zote huwa na hali ya ukungu kwa takriban mwaka mzima.
Pia hizo sehemu kama unataka upite salama na usafiri wa anga labda upae kwa higher altitude.
Kiufupi hilo eneo nature yake SI SALAMA SANA KWA USAFIRI WA HELICOPTER.
Na helikopta imeangukia msituni,na hilo eneo la msitu linalosemekana kuna deep cliffs.
 
Mbona nimeona mbwa wa utafutaji huko wanaendelea kumtafuta mheshimiwa Rais
Wakati huku mwembe chai tunafundishwa mbwa haram na haifai hata kumsogelea
Mbwa sio haramu bali baadhi ya sehemu zake ni najisi hasa mdomoni hivyo unatakiwa kuwa makini nazo .
 
Back
Top Bottom