Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Physician kutengeneza gari ??????Hao wazungu ndio maneno yao haya
Usiamini sana hao ila ni kasumba wakati mwingine ni kama mpira tu
Hata Saddam walisema ana Silaha hizo ila ilikuwa ni uzushi tu ili waibe mafuta na artifact zao
Unajua Bush na Saddam walikuwa wanashona viatu kwenye kiwanda kimoja huko Italy?
Wasipoelewana tu na uhasidi unaanza
Iran kuna physician katengeneza gari linalotumia maji yes Dasani 😄 ndio maana wanawapiga vita sana jamaa wana waajemi wana akili sana
Ushabiki tuache pembeni tuongee fact
Iran anaogopwa na Israel.zaidi ya mmarekani
Na mkuu wa majeshi wa Israel atajiuzuru soon
Kutumia Mi-17 kwa VIP transport ni kulazimisha mambo. Haina latest safety features ingawa ni very reliable na low cost.Sanctions za ndege na vifaa vyake
Hivi ni vituko a.k.a futuhi kaomba msaada kwa makafiriIran imeomba msaada kwa umoja wa ulaya ili isaidie kumtafuta Rais na kundi lake
Kongozi wa kidini ni Supreme leader ndio mwenye ushawishi mkubwa sana nchini Iran na ndiye anayeamua nani awe rais kwa mlango wa nyuma. Kama hataki uwe raisi huwez kuwa.Sio kweli mwenye mamlaka ya kiongoozi ni Raisi na sio kiongozi wa kidini, kawadanganye baby classes
Makafr Sasa Hapo Kwakuwa Wana Vyombo Watatoa Majibu Chap ChapHivi ni vituko a.k.a futuhi kaomba msaada kwa makafiri
Hata yeye siku zake zinahesabika.Kongozi wa kidini ni Supreme leader ndio mwenye ushawishi mkubwa sana nchini Iran na ndiye anayeamua nani awe rais kwa mlango wa nyuma. Kama hataki uwe raisi huwez kuwa.
Weka source ya habari yako.
Bado hakuna update kuhusu kupona au vifo. Pia bado hawajapata eneo ilipotokea ajali.
Mazingira ni magumu sana mvua, ukungu, giza na baridi
View attachment 2994368
View attachment 2994371View attachment 2994372
Mungu asaidie tu kwa kweli , sijui kama kuna kutoka salama kwa hali hii!Bado hakuna update kuhusu kupona au vifo. Pia bado hawajapata eneo ilipotokea ajali.
Mazingira ni magumu sana mvua, ukungu, giza na baridi
View attachment 2994368
View attachment 2994371View attachment 2994372
Al jazeera hapa ndo walikua wanachambua kwamba anatumia ndege za zamani kwa sababubya vukwazo vya USA kwamba hawezi pata ndege mpya wala vifaa vya ndege, sijafatilia indeepKutumia Mi-17 kwa VIP transport ni kulazimisha mambo. Haina latest safety features ingawa ni very reliable na low cost.
Ni ujumla wa ukosefu wa utu kwa kutumia engo ya dini.Wakati Houthi anafunga Bahari na kuzuia Meli zisije Afrika ya Mashariki kwa Amri ya Ayatolah huo ni UTU?!
MkuuAl jazeera hapa ndo walikua wanachambua kwamba anatumia ndege za zamani kwa sababubya vukwazo vya USA kwamba hawezi pata ndege mpya wala vifaa vya ndege, sijafatilia indeep
Labda kuna kitu kinaendelea maana siasa ni za kuacha kama zilivyo.Kwahiyo fleet ya Rais ni vilaza kujua kwamba hali ya hewa ni mbaya kwa helicopter hivyo waghairi safari kwa anga.
Ama basi Raisi ni muoga wa kusafiri kwa barabara, ama ni ubishi tu. Kobe Bryant afe kwa helicopter kisa ukungu alafu na Rais mzima afe kisa ukungu wakati ana team ya wataalamu wanaweza chukua option nyingine ya usafiri.
Andika kwa Kiswahili tuIs he survived?
Pole sana maalimKama kafa, basi wamekufa kiislam hawakufa wakiwa wkiristo au mayahudi ambao ukifa katika makundi hayo basi hasara kubwa mbeleni
Alikuwa ni scientist mkuu sorry ilikuwa ni gari la Peugeot alilobadilisha mfumo wakePhysician kutengeneza gari ??????
Shule ulikimbia umande au
Kina nani wanasema hivoMkuu
Mbona Wanasema Iran Ni Taifa Linalojimudu Mpaka Kwenye Technology Sasa Imekuwaje Atumie Kuukuu