Sharbel
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,393
- 2,759
OkAlikuwa ni scientist mkuu sorry ilikuwa ni gari la Peugeot alilobadilisha mfumo wake
Nilikosea tu nitarekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkAlikuwa ni scientist mkuu sorry ilikuwa ni gari la Peugeot alilobadilisha mfumo wake
Nilikosea tu nitarekebisha
Hujaangalia...Nimeangali vyombo vikubwa vya habari hii taarifa haipo.
Taifa La Iran LenyeweKina nani wanasema hivo
Komando Mujaheedeniran hao hapo wanafanya mazoezi makali ya kuwadunda Israel cheki hapo
View attachment 2994463
Kwahiyo ww ambaye huilichezei taifa teule huto kufa?Hatoki mtu mule, iwe fundisho kucheza na mataifa teule.
Kichaa were unae abudu waarabuIsrael hana uwezo na hawezi kufikiria kumgusa Iran official yeyote.
We unadhani officials wa Iran sawa na makamanda wa Lebanon!?
Israel hawezi maana that means to a full
Matumizi ya "mtenda" na "mtendewa" yamempita kushotoAndika kwa Kiswahili tu
Sheikh kapaniki. Mfadhili kauliwaMatumizi ya "mtenda" na "mtendewa" yamempita kushoto
Mtuhumiwa wa nini?Mtuhumiwa number moja huyu hapa...
Ruhollah Khomeini
Ayatollah Ruhollah Musavi Khomeini was an Iranian Islamic revolutionary, politician, and religious leader who served as the first supreme leader of Iran ...
Achakufa huyo kaka, na mkizubaa hata mwili wenu wa kuzika hamuupati - maana haki ya hewa ni mbaya sana waokoaji wanagwaya kufika eneo la tukio.Kwahiyo ww ambaye huilichezei taifa teule huto kufa?
allah na mudi wamefanya muujiza rais na wenzake hawajapata jeraha wala mchubuko wowote japo media za mabeberu zinaficha hili habari hii nzuri kwa umma, habari hii nzuri ya ukuu wa allah inapatikana kwenye media za kisunna tu.Kwahiyo ww ambaye huilichezei taifa teule huto kufa?
Mauaji..hili ni GAIDI number moja.Mtuhumiwa wa nini?
Mauaji gani?Mauaji..hili ni GAIDI number moja.
😅😅😅 utafika peponi uko taabani, naona raiiiiiisi ndo hivyo tenaInasemekana mwili wa Ayatolah umeliwa na Chui wa Milimani maana wamekosa Mwili wameambulia Kilemba tu.
Kwa hiyo asipo patikana ww utaishi milele?Achakufa huyo kaka, na mkizubaa hata mwili wenu wa kuzika hamuupati - maana haki ya hewa ni mbaya sana waokoaji wanagwaya kufika eneo la tukio.
Unaweza pia kukuta wafuasi wa CHADEMA wanamshabikia Putin, Xi, Kiduku na Raisi huku wafuasi wa CCM wanamshabikia Zelenskyy na Biden!Jf inafurahisha sana, vita kuu mbili za member wake ni dini na siasa, mnaweza kupishana kwenye siasa kwenye dini mkawa pamoja au mkawa pamoja kwenye siasa alafu kwenye dini mkatofautiana.