Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Israel hana uwezo na hawezi kufikiria kumgusa Iran official yeyote.
We unadhani officials wa Iran sawa na makamanda wa Lebanon!?
Israel hawezi maana that means to a full
Kichaa were unae abudu waarabu
 
Mtuhumiwa number moja huyu hapa...

Ruhollah Khomeini

Ayatollah Ruhollah Musavi Khomeini was an Iranian Islamic revolutionary, politician, and religious leader who served as the first supreme leader of Iran ...
 
Shambulio hili limepangwa board room likatekelezwa kwenye milima korofi. Hapo hawapatinhata ukucha wake
 
Kwahiyo ww ambaye huilichezei taifa teule huto kufa?
Achakufa huyo kaka, na mkizubaa hata mwili wenu wa kuzika hamuupati - maana haki ya hewa ni mbaya sana waokoaji wanagwaya kufika eneo la tukio.
 
Kwahiyo ww ambaye huilichezei taifa teule huto kufa?
allah na mudi wamefanya muujiza rais na wenzake hawajapata jeraha wala mchubuko wowote japo media za mabeberu zinaficha hili habari hii nzuri kwa umma, habari hii nzuri ya ukuu wa allah inapatikana kwenye media za kisunna tu.
 
Mauaji..hili ni GAIDI number moja.
Mauaji gani?
-USA aliyefadhili mapinduzi ya Assad Syria sio gaidi??
-USA aliyefadhili kumlinda Mansour ambaye hakutakakiwa na raia wake wa Yemeni na kusababisha vifo Yemen je sio gaidi??
 
Jf inafurahisha sana, vita kuu mbili za member wake ni dini na siasa, mnaweza kupishana kwenye siasa kwenye dini mkawa pamoja au mkawa pamoja kwenye siasa alafu kwenye dini mkatofautiana.
Unaweza pia kukuta wafuasi wa CHADEMA wanamshabikia Putin, Xi, Kiduku na Raisi huku wafuasi wa CCM wanamshabikia Zelenskyy na Biden!
 
Back
Top Bottom