Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Na kutumia Helicopter "Made in America" Ni propaganda? Hawa ni Aljazeera

Bell 212: The missing helicopter carrying Iran’s president​


Images and videos have confirmed that Iranian President Ebrahim Raisi and his companions were riding a US-manufactured Bell 212 helicopter.
The two-blade aircraft is a medium-sized helicopter that has a 15-seat capacity, with one pilot and fourteen passengers.
It is unclear how many people are on Raisi’s helicopter, including flight crew and potential security personnel.

Wewe mbona unakua kama muha au unatoka kigoma nini? Kutumia helicopter ilyotengezwa US ni propaganda? Unajua maana ya propaganda?
 
Hii taarifa ya simu ni ipo tangu saa kumi na mbili imewekwa na media za iran, inakuwaje hadi sasa hawajafika eneo la tukio?
No hii ni breaking News haina saa 1 tangu taarifa hii itolewe na kumbuka ajali hii inahusisha watu wakubwa sana kwa sasa. Iran tayari ina info's zote kuhusu hili tukio na hali ya majeruhi lakini wana zihold kwasababu za kiusalama.
 
JIPATIE NOTES ZA UHAKIKA, NOTES ZA KUKUONGEZEA KUJIAMINI.

Ni Notes za kukufanya uijue vizuri Physics, Chemistry, Biology, Maths

Hii ni kwa matumizi ya O-Level pekee.

kwa mawasiliano zaidi nipigie simu 0675703608
Na wewe jifunze kuweka full page isomeke sio thumbnail.
 
Nyatunyatu washafanya yao, sio ya kawaida hii...inaitwa right place, right time, target is down.
 
Wakuu simu ya Rais inaita baaada ya trace na usaidizi wa umoja wa ulaya

Hii inamaanisha ndege haijalipuka

Kwahiyo 99% waliopata hard landing wapo hai
 
Wakuu simu ya Rais inaita baaada ya trace na usaidizi wa umoja wa ulaya

Hii inamaanisha ndege haijalipuka

Kwahiyo 99% waliopata hard landing wapo hai
Kuita ni jambo moja na kujibiwa ni jambo lingine, je ikiita wanapokea na kuzungumza nao?
 
Back
Top Bottom