imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kweni Ayatolah anaua kwa Wasichana wanaotembea bila Ushungi kwasababu ya nani?Unaleta udini tena!?
Aya kwaheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweni Ayatolah anaua kwa Wasichana wanaotembea bila Ushungi kwasababu ya nani?Unaleta udini tena!?
Aya kwaheri.
No hii ni breaking News haina saa 1 tangu taarifa hii itolewe na kumbuka ajali hii inahusisha watu wakubwa sana kwa sasa. Iran tayari ina info's zote kuhusu hili tukio na hali ya majeruhi lakini wana zihold kwasababu za kiusalama.
UtaumbukansoonVikosi vimeongezwa hadi 20 pamoja na drone ila hadi sasa hawajafanikiwa
Nipo Mkuu, tuone nani atalala hasa! Akili unayo wewe "baba" Unayeshindwa kujua nani ni "Shetani Mkubwa"Kumbe huna akili .haya pumzika tuache baba zako tuendelee na mjadala naona una usingizi
Yes!! Unawezaje kurusha drones kwenda Israel halafu ubaki salama!?Wamagharibi washafanya yao
Hiyo ya umoja wa ulaya umetia chumvi. Umoja wa ulaya hausiki hapo
Kesho asubui kwwnye mediaHATOKI MTU HAPO JIANDAENI KUZIKA
Mwarabu akifa hakuna hasara
Kumbe huna akili .haya pumzika tuache baba zako tuendelee na mjadala naona una usingizi
kusifia wanaume wenzio ni ushogaNaona kwenye Uzi wa Ukraine umechapa rapa baada ya kipondo Cha vidume vya Russia
Tutegemee ilikuwa SABOTAGE.!AU ‘SIMPLY GODS WILL’ YEAH.. IRAN INAWEZA KUPATA UHURU HATIMAYE.!..kutoka kwa WASHENZI wale wauaji.! Wanatawala kwa kuwatishia raia wao kwa kujisalimisha.!
Hii ajali inafuatiliwa sana na marekani, Israel na other Western. Kitisho kipo nje ya Iran siyo ndani.Usalama upi Sir Roberts? Hofu ni nini kutoa taarifa rasmi? Nchi Itapinduliwa? Wananchi wata riots...Hebu tuweke sawa...!
Unaleta udini tena!?
Aya kwaheri.
Huwezi kujua mi ni nani nan ninafanya kazi gani kwahiyo tusibishane.Sir Roberts, nakuvulia kofia Mkuu.....Wewe ndio unayetambua hii habari imetiwa chumvi....Hii hapana.......! Tunakusuburi Mkuu utupe updates zisizo na chumvi!