Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

Kosugi: Chuki ya Waarabu/ Wairan dhidi ya Israel ni ya dini tu! Mengine ni nyongeza.
Ni wewe unasema.
1946 kwenda chini wayahudi waliishi vema na waarabu,je unalijua hili?
Tena waliachiwa Jerusalem pasi na utata.
Una ushahidi wa kuthibitisha usemayo!?
Naanza kuamini anachokwambia sirjohnrobert sasa.
 
Giza na ukungu mzito kwa sasa umetanda eneo ambalo helikopta ya rais wa Iran ilianguka.

 
kwa kudra za allah na mudi atapatikana hai na tena akiwa hana hata chembe ya jeraha, japo mahasidi wanaropka hapa jukwaani kuwa eti ameng'ata shuka tayari.
Una mzaha sana mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: DPN
BREAKING

IRNA confirmed that President Raisi was on board the helicopter and that rescue teams had yet to determine the location of the accident due to poor weather conditions.
Mkiambiwa msicheze na Wayahudi na ni Taifa la Mungu muwe mnaelewa. Iran ilianza Upuuzi sasa Wanakiona na bado.
 
Ni wewe unasema.
1946 kwenda chini wayahudi waliishi vema na waarabu,je unalijua hili?
Tena waliachiwa Jerusalem pasi na utata.
Una ushahidi wa kuthibitisha usemayo!?
Naanza kuamini anachokwambia sirjohnrobert sasa.

Unajua unachokisema? Narudia tena unajua unachokisema! Unajua kweli historia wewe....Kweli iko kazi!
 
Iran sio waarabu, elewa hilo! Pia kama vipi kaungane na wale makafiri wanaouwa watoto, wamama na wazee wasio na hatia utakipata kama kilichowapata wale wa Kaskazini.
hivi watoto wasio na hatia ni wa Palestina tu na mataifa ya kiarabu?
 
Tatizo lingine arzebejian ni rafiki mkubwa wa israeli kidplomasia
Wewe unaisemea Armenia.
Azerbaijan ni MTOTO WA TURKIYE/UTURUKI.
Hata vita ya Nagorno-karabagh msaada aliomba Turkiye pale alipoona Armenia imepewa msaada wa kijeshi na Russia.
Yani taifa la kwanza Azerbaijan hulikimbilia ni Turkiye na wale ni asili moja.
 
🚨🇮🇷🇵🇸 "Ikiwa wewe ni adui wa Iran, wewe ni adui wa Palestina." - Nasrallah ya Hezbollah
 
Unajua unachokisema? Narudia tena unajua unachokisema! Unajua kweli historia wewe....Kweli iko kazi!
UNAIJUA FAILED COUP D'TAT ya wayahudi ya 1946 dhidi ya British Palestine mandate!??
Nijibu hapo👆👆👆🙌
 
Wewe unaisemea Armenia.
Azerbaijan ni MTOTO WA TURKIYE/UTURUKI.
Hata vita ya Nagorno-karabagh msaada aliomba Turkiye pale alipoona Armenia imepewa msaada wa kijeshi na Russia.
Yani taifa la kwanza Azerbaijan hulikimbilia ni Turkiye na wale ni asili moja.
Habana rafiki hata israeli ni Taifa rafiki na israeli
 
Wameanza kuomba msaada

Mamlaka ya Usimamizi wa Majanga na Dharura ya serikali ya Uturuki iliripoti kuwa Iran imeiomba Uturuki kutafuta na kuokoa helikopta yenye mfumo wa kuona usiku. Takriban waokoaji 32 na magari 6 waliondoka katika miji ya Van na Erzurum kuelekea eneo hilo.

Kwa kuongezea, timu ya utafutaji na uokoaji ya wapanda milima ya Uturuki, inayojumuisha watu 15 kutoka Ankara, Diyarbakir na Konya, iko macho.
 
Back
Top Bottom