Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!

Rais wa miaka 10 wa watu milioni 60, siku yake kubwa kuliko zote maishani ilikuwa kukutana na Michael Jackson na Rihanna!




Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Basi kama hukumbuki siku uliyokuwa Rais wetu ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa mengi! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael akiwa Madrid ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, inaitwa "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie mtume!

Waafrika, nani atatuokoa ????



View attachment 2381816

Inaudhi sana, lakini tulia Magufuli ili tuwe tunapigiwa hizi swagga, bila mapinduzi nchi hii tutachina milele
 
Shida ni Uislamu, tatizo liko hapo, Uislamu haufundushi earning a leaving through hard work, mfumo unaojenga Dunia ni christian, shida iko hapo, hawajui kufanya kazi kwa bidii kujenga nchi, wanajua raha na kutumia, basi, hawajui kwamba nchi inajengwa kwa jasho na siyo blah blah na starehe.

Kwani kuna Viongozi wengi wametokea Pwani ambao ni Christian na wamekwenda Christian Schools wamepata mafunzo ya Christinianity wako vizuri sana tu, hivyo kutoka Pwani siyo tatizo, tatizo ni malezi na Madrasa!
Sio lazima kila kitu uingize udini. Haipendezi kwa kusema kweli.

Amandla...
 
Maumivu makubwa ya moyo ndio sifa ya maoni mengi ya watanzania mtandaoni.

JK n mtu chakaramu, sidhani kama anakunywa pombe kama marehemu wote watatu waliokuwa marais wa TZ, starehe nyingine ndio nyumbani kwake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila bora chupa kuliko chup
 
Sio lazima kila kitu uingize udini. Haipendezi kwa kusema kweli.

Amandla...

Basi sema shida iko wapi? Huu ni ukweli ulio wazi na wala siyo udini, mfumo wa Kiuchumi unaondesha Dunia ya leo ni Christian au unatokana na Western Christian philosophy, na kila nchi inayotaka kuendelea ni lazima itaiga Christian way of education, work ethics etc Japan waliiga, Korea, Taiwan, Singapore na hata China wanaiga pia wanaendelea vizuri, huwezi kukuta Kiongozi mkubwa China au Japan anaongea kama huyo mzee na cha ajabu ametembea sana kila siku yuko nije lkn bado hauoni tofauti, ni kwa nini unafikiri?
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Basi kama hukumbuki siku uliyokuwa Rais wetu ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa mengi! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael akiwa Madrid ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, inaitwa "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie mtume!

Waafrika, nani atatuokoa ????



View attachment 2381816
Baba wa Taifa alipokuwepo alijitahidi kutumia hekima kuonyesha kuwa kijana hafai kutawala juu kabisa, ila waTz hatukumuelewa tu!
 
Ulitaka aseme nini? Kwa umri wake na wakati huo Michael Jackson ndie alikuwa mtu maarufu Sana ulimwenguni. Mtu yeyoye angetamani amuone!

Au ulitaka aseme siku aliyokutana na Bush? Au Obama? Au Clinton? Tony Blair?

Kila mtu ana fantasy yake. Angesema unachotaka wewe, tungesema mnafana fantasy zenu.
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Basi kama hukumbuki siku uliyokuwa Rais wetu ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa mengi! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael akiwa Madrid ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, inaitwa "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie mtume!

Waafrika, nani atatuokoa ????



View attachment 2381816

Huwa siwaelewi watu wanaosema eti Kikwete ni mtoto wa mjini. Ujanja wake ni wa kujifunza, siyo natural kwa hiyo ushamba umejificha tu nyuma.

Mleta mada uko sahihi kabisa, umekuwa kwenye uongozi wa nchi kwa zaidi ya miaka 30, jambo unalokumbuka na kujivunia ni kukutana na Michael Jackson na huyu huyu Rihanna? Na unashangaa unapokutana nao kuwa wako soft-spoken?

Kama si ushamba ni nini huo?

Na viongozi wa namna hii wamejaa Serikalini.
 



Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa.

The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani!

Kwa miaka kumi ukiingia bafuni Mikocheni sisi tunaanza kusimamishwa Kiwalani kujiandaa kukupisha unaenda Airport, ukija msibani na harusini tunasimamisha kusali, kulia, kula, kuongea, mpaka we ukasaini kitabu ukakae chini, umestaafu unatumia jumba la serikali bure, petroli bure, vocha ya simu bure, mlinzi bure, mpishi, karani, dereva, shamba boy, and so forth and so forth and so forth.... Kijana wako na mke wako tumewapa ubunge na uwaziri si kwa lolote la kiuongozi walilofanya kabla ya hapo bali kwa heshima yako wewe.....


Lakini the greatest day of your life ni kukutana na Rihanna!

Basi kama hukumbuki siku uliyokuwa Rais wetu ungevunga kwa kutaja siku uliyomuoa Salma, manake nae kakufumbia macho kwa mengi! Unampaisha Rihanna and your wife is sitting right next to you!


Halafu huna noma unasema ulikutana na Michael Jackson hotelini Spain ukiwa waziri wa Madini. Hoteli pendwa ya Michael akiwa Madrid ilikuwa ni WESTIN PALACE MADRID, inaitwa "the icon of luxury!"

Waziri na Rais wa nchi ambayo wasafiri tunasimamishwa vichakani "kuchimba dawa" kwa saab hatuna rest areas zenye vyoo njiani, unatumia viji tozo vyetu kukodi hoteli anayofikia Michael Jackson! Jamani! Na sijui kampuni gani la Spain ulilileta lije kutupiga makinikia..... Msalie mtume!

Waafrika, nani atatuokoa ????



View attachment 2381816

Hakuna watu wanakula raha katika hii dunia kama wanasiasa katika ngazi kuanzia wabunge. Ukipata nafasi tumia acha kelele Buda. Jipenyeze kwa namna yoyote nawe ule buda.
Life is too short.
 
Watawala wa Waafrika wamezigeuza nchi kama mali zao na wale wakwao wa karibu wanaouwazunguka.
Hakuna watu wanakula raha katika hii dunia kama wanasiasa katika ngazi kuanzia wabunge.Ukipata nafasi tumia acha kelele Buda.Jipenyeze kwa namna yoyote nawe ule buda.
Life is too short.
 
Basi sema shida iko wapi? Huu ni ukweli ulio wazi na wala siyo udini, mfumo wa Kiuchumi unaondesha Dunia ya leo ni Christian au unatokana na Western Christian philosophy, na kila nchi inayotaka kuendelea ni lazima itaiga Christian way of education, work ethics etc Japan waliiga, Korea, Taiwan, Singapore na hata China wanaiga pia wanaendelea vizuri, huwezi kukuta Kiongozi mkubwa China au Japan anaongea kama huyo mzee na cha ajabu ametembea sana kila siku yuko nije lkn bado hauoni tofauti, ni kwa nini unafikiri?
Pesa anayo sasa tashindwa nini kutembea!
 
Ila born town umri kweli umeenda 10 cents akimaanisha 50 cents daaah kweli wakati ukuta
 
Angezungumzia lango la jiji na kina Issa Matona ndio angeonekana ana uzalendo.
 
Back
Top Bottom