TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Kosa la kwanza lilikuwa kuhama ikulu ya Dar na kwenda Dodoma, Kumbuka yaliyomkuta mwendazake kule Lindi kipindi tu ndio kasema kahamia Dodoma
Kosa la pili ni kuapishwa Dodoma badala ya DSM.. Kuna mafungamano makuuu ikulu ya DSM na uwanja wa Uhuru na urais kwa kiongozi aliye madarakani.
 
Mbio za mwenge zenyewe vipi mkuu?
 
Jiwe alikuwa evil 95%
 
Kupiga kazi sana bila mapumziko ya kutosha na matusi ya wapinzani maskini yamemuondoa.
Inna Lillaah wa inna Ilayhi raajiuun
انا للاه وان اليه راجعون
 
Tumerudi kwenye zero, wakuu watakalia kujaza Mifuko Yao. Wakisha mzika tu angalia safari zao zat nje next week. Wamemuua kipenzi cha watu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…