Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,281
Kwa nini walikuwa wanaficha taarifa za kuumwa kwake kwani kuumwa jambo la ajabu?!msimlaumuu alikua anaongea tu kufunika hali hakua na taarifa sahihi ; kina Bashiru ; msigwa ; dotto ; dr hassan na wengine ndio walikua wanajua
ndio maana mnaona in frustration aliamua hata kukata ziara aka tulia maana kauli yake ilimuaibisha