Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabaya yake ni mengi kuliko mazuri,aende anapostahili."Lakini mimi najua, iko siku mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri, si kwa mabaya, kwa Sababu nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya watanzania hasa watanzania maskini" #JPM
Tayari wamekwishakosea hapo kwenye "Term Length"
Huyu mzee alijua hana maisha marefu nadhani."Lakini mimi najua, iko siku mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri, si kwa mabaya, kwa Sababu nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya watanzania hasa watanzania maskini" #JPM
Tupo tutakao mkumbukaWatakumbuka waliotenda mema wakaacha alama siyo wakatili na waovu
Samahani hiyo tarehe kwa Karume sio sahihiMaalim alifariki tarehe 17.2.2021
Magu amefariki tarehe 17.3.2021
Karume alifariki tarehe 17.4.1972
hii tarehe 17 sio nzuri kwa watanzania.
Nyinyi watu mna wazimu?Kweli mkuu ndo maana nkasema katiba itambeba, cha msingi ni kumuombea kwa Mungu ili tumuone Magufuli ndani yake
Sijui mtakuwa mnamtukana nani tena hapa jukwaan.Nililala mno ndugu zanguni!
Ile nashtuka nakuta message daaaaaa
Jiwe kaenda aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nina huzuni sana sana sana wakuu,
Apumzike kwa amani kamanda
Anyway Karma!
Kifo habari nyingine, tofauti zakisiasa hazinfanyi mtu asisikitike.Kumbe kuna watu wengine humu walikuwa wanamkubali Magu japo kimya kimya?!!!