Rasmi: Maandamano ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023

Rasmi: Maandamano ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023

Kila mtanzania mwenye utashi na akili timamu anayo HAKI kuamua ashiriki ama asishiriki maandamano ya November 2023.

Zifuatazo ni sababu zitakazonifanya nishiriki maandamano hayo.

1. Kusainiwa Kwa HJA kati ya sirikali na DP World siku ya IBADA jumapili.

2. Mgao wa umeme.

3. Kurudishwa wa watesi wa DEMOKRASIA na HAKI madarakani.

4. Kuhukumiwa kifungo Kwa Mchungaji Mbarikiwa.

5. Mfumuko wa Bei nchini.

6.Kutochukuliwa hatua wabadhilifu waliotajwa katika report ya CAG.

7. Nia isiyo njema ya sirikali kudhamiria kuingia uchaguzi bila Tume huru ya u haguzi.

8,9...........utajazia mwenyewe.

Pia watakaoamua kutokuandamana, Kwa Sababu mbalimbali pia waheshimiwe.

Swali ni je, utashiriki maandamano ya Novembre?

Mdude atakuwepo, Slaa atakuwepo, Lissu atakuwepo, Mwabukusi atakuwepo, Rabbon atakuwepo nk nk nk nk.

Karibuni🙏
 
Sisi bwana tuko kwa Makonda. Hayo ya maandamano hatuyajui.
 
Sisi wananchi tutaandamana kumpongeza Dr Samia kutuletea jembe letu Makonda huku kwenye chama. I hope tutapewa kibali, ni haki yetu ya msingi kuonyesha furaha zetu.
 
poleni sana 'Sauti ya Watanzania'

CHADEMA haikuwatendeeni haki.

Kumbe ilikuwa ni Mbowe tu azunguke zunguke kwa Wahisani halafu mngeingia mtaani.

Labda leo hii Bandari yetu ingekuwa imo salama mikononi mwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom