Rasmi: Maandamano ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023

Rasmi: Maandamano ya kupinga mkataba wa bandari ni tarehe 9 Novemba 2023

Bila kutumia maneno machafu na kauli chafu naomba ni eleweshwe mojawapo ya kasoro ya huo mkataba (kasoro moja tu yenye masrahi kwa taifa) wa DPW ikiwa uwekezaji uliopo unatuingizia takriban tilion 7 na huu wa DPW utaingiza almost tilion 27. Tatizo ni nini? Ahsante.
 
Bandari haijauzwa....

TPA wanabaki na BERTH 8-11...

DPW wanachukua BERTH 1-7...

Mafuta hayawahusu....

Ulinzi hauwahusu......
TPA berth 0-2

DPW berth 3-7

Anatafutwa mwendeshaji wa berth 8-11.

Pia anatafutwa mwendeshaji wa mbegani Bagamoyo na baadae atatafutwa wa bandari ya Tanga.
 
Nchi yetu nzuri iliyojaliwa utajiri mwingi wa asili imejaa wajinga wa kila aina.

India wametuzidi sana kiuchumi na wameingia mkataba na DP World mwaka huu, wanataka ufanisi katika bandari yao.

Belgium na UK wamekodisha bandari zao kwa DP World, wanataka ufanisi mpana na wanajua hiyo kampuni inao uwezo mkubwa kiasi gani katika masuala ya uendeshaji wa ports.
 
Nchi yetu nzuri iliyojaliwa utajiri mwingi wa asili imejaa wajinga wa kila aina.

India wametuzidi sana kiuchumi na wameingia mkataba na DP World mwaka huu, wanataka ufanisi katika bandari yao.

Belgium na UK wamekodisha bandari zao kwa DP World, wanataka ufanisi mpana na wanajua hiyo kampuni inao uwezo mkubwa kiasi gani katika masuala ya uendeshaji wa ports.
Ujinga tulio nao si pamoja na huu ulinganisho unaojaribu kufanya?
 
Alijazwa upepo gani? Mtu kaonewa alafu unasema alijazwa upepo? Hata ingekua wewe wanakuulia binti yako ungesubiri ujazwe upepo ili uikosoe serikali?. Kwa taarifa tu wanaandaa rufaa na watashinda we endelea kuwaza ngono tu.

Hii nchi tuna vijana wa ovyo sana
Heshima yako mkuu

Binti yake aliuawa au huyu alishitakiwa sasa?

Ana binti wawili? Huyo alieuliwa stori yake ipoje
 
Bila kutumia maneno machafu na kauli chafu naomba ni eleweshwe mojawapo ya kasoro ya huo mkataba (kasoro moja tu yenye masrahi kwa taifa) wa DPW ikiwa uwekezaji uliopo unatuingizia takriban tilion 7 na huu wa DPW utaingiza almost tilion 27. Tatizo ni nini? Ahsante.
Wanaopinga wanahofia kwamba mkataba hauna ukomo na hata mgao ukiwa kiduchu hatuwezi kuuvunja popote pale otherwise tutalipa damages. Kingine wanahofia kwamba bandari ni strategic sasa ikiwa chini ya mwekezaji kunaweza iumia nchi mfano wakati wa vita alafu wakakataa kupitisha silaha au mafuta!!

Nachokiona hapa watu wana majeraha ya mikataba mibovu ya Acacia, Symbion, IPTL n.k so serikali ilipaswa kuuelezea kwa undani kwa watu wauelewe pennine ingepunguza maswali. Cha ajabu na wao wanatuma kina zembwela kukejeli wanaopinga.

So hapa ni elimu itolewe na maoni ya wananchi yawe factored in ili kuondoa sintofahamu.
 
Ujinga tulio nao si pamoja na huu ulinganisho unaojaribu kufanya?
Ujinga ni kudhani kuwa Tanzania ni sawa na nzi ndani ya chupa ya bia, kwamba tunao uwezo wa kuishi katika dunia hii kwa vigezo na upeo wetu wenyewe.

Tunahitaji sana uwekezaji bandarini ili tuwarudishe wateja wengi walioikimbia bandari kwa mambo yetu mengi ya kijinga pale TPA.

Tunahitaji uwekezaji ili ufanisi mzima uweze kuongezeka na ili SGR ikikamilika iweze kufanya kazi kubwa ya kusukuma mzigo mwingi unaokutana na bandari yenye viwango vya juu vya ufanyaji wa kazi.
 
Afadhali mmesema nibadili ratiba ya nguo, siku hiyo nisije kuvaa kijora changu cheupe mara nakutana na mibaba yenye vitambi inanipigia saluti🤣🤣
 
Si maandamano ya AMANI...

Ni maandamano ya UASI....

Yaani ASKARI POLISI aliyevaa sare yake ya kazi....aivue KOFIA na kuvaa BERETI NYEKUNDU AMA NYEUSI dhidi ya watanzania na kiapo chake cha kazi ?!!!![emoji15][emoji15]

Huu ni UASI wa dhahiri.....

Mdude huna lengo zuri na UTULIVU WA WATANZANIA.......

#SiempreJMT[emoji120]
Ujalazimishwa papai wewe

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
We sema umemkumbuka tu jamaa aliyekuwa anakukumbatia pale Magereza Rwanda Mbeya huna lolote. Hatuandamani ng'ooooooo, mchukue mama na baba yako mkaandamane. Sisi vijana wa Mbeya hatufanyi hiyo kazi. Unataka tuwe walemavu kwa ajili ya nini? Yaani niache biashara zangu hapa Soweto niende Andamana ili watuumize pumbu zisifanye kazi kama.ambavyo zako hazifanyi alafu mke wangu Pendo nitamuachia nani?

Mbarikiwa huyooo memjaza upepo na ujinga wa uana harakati na sasa yupo Gereza gani wala hamaja mpelekea sabuni tunasubiri miezi 3 tu mbele tuanze mtombea mkewe huko nje na wale vijana wake wote wamesambaratika na wengine wamerudi nyumbani Tukuyu.
Akili yako inawaza kutomba tu,,,,sasa wew na mbuzi tofauti ni ipi
 
HOSPITAL YA MIREMBE BADALA YA KUJENGWA MBEYA WHY MKAJENGA DODOMA??

HAMUONI WAGONJWA WALIVYO WENGI HUKO MBEYA
 
Nikeshakudharau wewe Joyce Mukya hawara wa Mbowe. Byeeeee
Umdharau nani hata akili Huna? Yaani mtu anapiga kelele jambo la faida yako alafu upo busy kumkejeli? Cha ajabu ukute ni waziri au mbunge huko CCM just imagine the state of our nation!!
 
Back
Top Bottom