Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Anayewaza kwa kutumia k ya mama yake ndio hutukana kwa sababu anasahau kwamba hata yeye anayo hayo makalio.Anayewaza kwa kutumia makalio hutukana kwa kutaja utupu wa mwanamke ilhali ndani ya utupu huo ndimo alipita kuja duniani ππ
Anayewaza kwa kutumia k ya mama yake ndio hutukana kwa sababu anasahau kwamba hata yeye anayo hayo makalio.Anayewaza kwa kutumia k ya mama yake ndio hutukana kwa sababu anasahau kwamba hata yeye anayo hayo makalio.
I rest my case.Anayewaza kwa kutumia k ya mama yake ndio hutukana kwa sababu anasahau kwamba hata yeye anayo hayo makalio.
Hauwezi kuisha endapo utaleta vivid explanation ya kile unacho kiamini or else Itakua kama kuamini kitu usicho kijua which is insane.Huu mjadala sio wa kuisha Leo
Huyo kristo si umemjulia kwenye dini? Au wanaoamini kristo ni wapagani?Sifii dini namfia kristo
Everyone judges based on how they think, what you say explain your thoughts.. thibitisha hicho unacho kiamini or else you're what I think you are.You easily judge someone by what you think
Praise and worship the God who created you.I rest my case.
God doesn't exist.Praise and worship the God who created you.
Only someone who thinks with their hips can say this.God doesn't exist.
There's no God who created anything.
sijakisoma kwasabb siwez lugha ilitumika kuandika hiyo script siyo lugha yangu,siijui siwezi kusoma kitu nisicho kijuaHujathibitisha kuwa ni mambo ya kutungwa tu.
Naweza kukwambia kuwa wewe kusema haya ni mambo ya kutungwa tu ndiyo jambo la kutungwa tu.
Kwa sababu hujathibitisha kuwa haya ni mambo ya kutungwa tu.
Yani si tu hujathibitisha kuwa haya ni mambo ya kutungwa tu, hujathibitisha hata kama umeyasoma, achikia mbali kimuyaelewa.
Unaongelea vitu ambavyo huvielewi, hujavisoma, huwezi kuvichambua kimantiki.
Pengine huna hata uwezo wa kuvichambua kimantiki.
Kwa hivyo unapinga kitu ambacho hujakisoma na wala lugha iliyotumika kukiandika huielewi?sijakisoma kwasabb siwez lugha ilitumika kuandika hiyo script siyo lugha yangu,siijui siwezi kusoma kitu nisicho kijua
mfano ww mtu akwambie nisomee kitabu kilicho andikwa kwa lugha ya kihadzabe au kisandawe utaelewa nini?
Alishakuja akasulubiwa akafa akazikwa akafufuka kutoka wafu akapaa mbinguni atakuja tena kwa utukufu kuwahukumu wazima na wafu, Na bahati mbaya ni kwamba kwa sasa kama unasubiri japo uone ishara ili uamini kama yupo basi hautoona chochote ila tu jua kwamba siku tu ukishaanguka chini utashuhudia hicho kiburi chako cha uhai.Huyo Mungu kama yupo, Kwa nini anajificha huko alipo, Halafu anataka kuaminiwa akiwa mafichoni?
Huyo Mungu akijitokeza hadharani akajulikana yupo kwa uhakika kabisa pasipo utata na utofauti wa kiimani itamcost nini?
Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
Wewe wasema.Hizi ni hadithi za kwenye hekaya za Biblia.
Hakuna Mungu.
napinga kwasbb hakuna hakuna machapisho yoyote ya script za hao mnao waita wana philosophy walioelezea chanzo cha ulimwengu ni nini.Kwa hivyo unapinga kitu ambacho hujakisoma na wala lugha iliyotumika kukiandika huielewi?
This logical fallacy is called non sequitur.napinga kwasbb hakuna hakuna machapisho yoyote ya script za hao mnao waita wana philosophy walioelezea chanzo cha ulimwengu ni nini.
Another neck supporting an empty head.Only someone who thinks with their hips can say this.
Imaginations just an illusion.Alishakuja akasulubiwa akafa akazikwa akafufuka kutoka wafu akapaa mbinguni atakuja tena kwa utukufu kuwahukumu wazima na wafu, Na bahati mbaya ni kwamba kwa sasa kama unasubiri japo uone ishara ili uamini kama yupo basi hautoona chochote ila tu jua kwamba siku tu ukishaanguka chini utashuhudia hicho kiburi chako cha uhai.
And that's the reality.Wewe wasema.
Kila nikidhibitisha unapinga tuHauwezi kuisha endapo utaleta vivid explanation ya kile unacho kiamini or else Itakua kama kuamini kitu usicho kijua which is insane.
Huyo kristo si umemjulia kwenye dini? Au wanaoamini kristo ni wapagani?
Everyone judges based on how they think, what you say explain your thoughts.. thibitisha hicho unacho kiamini or else you're what I think you are.
Having knowledge is not power, but application of knowledge is power.
We jamaa hahaha Sasa umenipa picha za vilema kwamba Mungu awasaidii!Mungu gani mwenye upendo ameshindwa na anashindwa kuwasaidia maelfu ya watoto na wanawake wanaokufa na kuteseka kwa njaa, vita, magonjwa, majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi, radi na shida nyingine nyingi sana...
Mungu gani anayetupenda kwa hali za watoto kama hawa...π
View attachment 3210007View attachment 3210008
Huyo Mungu kama yupo ni Mungu mkatili, muuaji, muovu, bandidu, sadist, nunda, dikteta na hana hata chembe ya upendo wala huruma.
Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.
Watoto wanaozaliwa walemavu na njiti, Ni nani kawaumba hivyo?We jamaa hahaha Sasa umenipa picha za vilema kwamba Mungu awasaidii!
Watoto wanaozaliwa walemavu na njiti, Wamefanya dhambi gani hadi wazaliwe hivyo?Hayo Ni matokeo ya dhambi Mungu hashughuliki nayo
Kwa nini Mungu aumbe watu wanaomjua na wasiomjua?Hushughulika na watu wanaomjua na anahuruma na upendo kwao
Sema tu huna facts yaisheKila nikidhibitisha unapinga tu
Unatka upinge au