Mungu gani mwenye upendo ameshindwa na anashindwa kuwasaidia maelfu ya watoto na wanawake wanaokufa na kuteseka kwa njaa, vita, magonjwa, majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi, radi na shida nyingine nyingi sana...
Mungu gani anayetupenda kwa hali za watoto kama hawa...👇
View attachment 3210007View attachment 3210008
Huyo Mungu kama yupo ni Mungu mkatili, muuaji, muovu, bandidu, sadist, nunda, dikteta na hana hata chembe ya upendo wala huruma.
Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.