Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152866
zilipendwa
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
wapumbavu hao
 
Maamuzi ya hovyo sana, injinia nilimuona mtu fulani very smart but kwenye hili kakurupuka. Timu mnampa muhuni ndo madhara yake hayo. Sisi kwetu sherehe tu.
 
nisome kama park don wa singida apa me naona kuna haja ya wahudumu wa afya kuwasaidia nyuma mwiko maana ni kama wamechanganyikiwa sasa
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Chanzo cha hayo yote ni mobeto 😀😀 zengeli na pacome tutawapatia uwoya na gigy money kwisha habari yao😀😀
 
Maamuzi ya hovyo sana, injinia nilimuona mtu fulani very smart but kwenye hili kakurupuka. Timu mnampa muhuni ndo madhara yake hayo. Sisi kwetu sherehe tu.
Naskia utetezi wao eti Kocha hajafukuzwa kwasababu ya matokeo

Wao wanadai mshkaji ni kibuli na katengeneza matabaka inavyosemwa ni kwamba kwenye technical bench alikuwa anaelewana na assistant wake tu, the rest hakuwa na chemistry nao.

Lakini hayo tumeanza kuyasikia baada ya visago viwili mfululizo, awali maneno hayo hatukuyasikia.
 
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutarifu umma kuwa umevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Angel Miguel Gamondi.

Vilevile, Uongozi wa Young Africans Sports Club, umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuwashukuru Makocha hao kwa mchango wao ndani ya Klabu yetu na unawatakia kila la kheri katika majukumu yao mapya.

Tayari mchakato wa haraka wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi chetu cha kwanza umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.​

Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Imetolewa na
Ofisi ya Mtendaji Mkuu (CEO)
Young Africans Sports Club
15.11.2024

View attachment 3152851
Mmmm! Mechi2 Tu! Sisi Yetu Macho Kunapofuka Moshi Moto Siku Yoyote Utalipuka
 
Back
Top Bottom