Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

Tatizo la hawa watu maarufu wanakutumia wakikuchoka wanakutupilia mbali, wenye hekima wamuokoe Paula tafadhali...
 
Mzee angalia jinsi ya kuongezea mbolea kwenye tumbaku huko tabora. Haya ya town yaache yakupite
 
Safi sana ndio muda wao huu kudemka ,majukumu yakishaongezeka na mihemko kushuka watatulia na kufanya mambo ya maana ya kukuza familia.
 
KWAsababu na yeye alibandua mabinti wa watu kwa kisingizio cha kuwarekodia...mfano ni mwa miongoni mwa mabinti waliokuwa wanakimbia shule kwa kurubuniwa na majani ni huyo kajala mwenyewe
Hahah!

Kajala Masanja alirubuniwa na Majani?

Hebu fuatilia harakati za huyo binti tangu kakiwa kaduchu primary huko upate mitkasi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…