[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kubabbk eti nisukume Figo[emoji16][emoji16][emoji1787]
Wanaume ni malayaaaa saaaanaaa, mbwaaaaazz
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaahMzee angalia jinsi ya kuongezea mbolea kwenye tumbaku huko tabora. Haya ya town yaache yakupite
Waandishi wa makala na maisha walohitimisha kwamba kuna vitu vitatu maishani hutakiwi kuviweka hadharaniUmaarufu ni mzigo sana. Hawa vijana wanaoanza kufanikiwa wanatakiwa kufanyiwa counselling jinsi ya ku-deal na umaarufu. Mwisho wa siku maisha ni uwekezaji sio show off. Wapi waliokuwa maarufu enzi hizo kina Mr. Nice, TID, 20%, Rose Mhando na wengine.
Mtu ametokea familia duni ume-struggle umetoka unaenda kuparamia mademu maarufu wakati kwenu ulipotoka wanatumia choo cha shimo.
Wasanii jifunzeni kuhusu maisha, mahusiano jitahidi uyafiche sana na sio kufanya show off.
Lipo mkuu, ulimuhakiki hotelini au geto kwake?Nilishawahi kum hakiki, vipi una jingine? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hotelini.Lipo mkuu, ulimuhakiki hotelini au geto kwake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Et la mkopo aiseee
Mkuu naomba namimi unihakiki.Hotelini.
Mama yake ni mlokole, alisema hawezi kukubali kupokea na kutumia hela ya mtoto wake sababu kazi na mazingira yanayompatia hiyo hela hakubaliani navyo na ni kinyume cha imani yake. Hivyo akasema ataendelea kujitafutia kipato kwa kuendelea kuuza mboga za mafungu, ingawa mtoto wake hapendi.Kuuza mafungu ni jadi chief , wazee wetu wa kijijini hata uwasaidie vipi hawawezi kuacha kazi zao za mda wote , hawana proffesional yyte , mi Bibi yangu na msaidia Sana Ila huwez mkataza kwenda shamba anapenda kuliko maelezo ....anyway kama mama yake anauza mafungu Kwa kukosa riziki basi vannyboy anzingua .....
Mama anaitafta mbingu Kwa juhudi zote , kongole kwakeMama yake ni mlokole, alisema hawezi kukubali kupokea na kutumia hela ya mtoto wake sababu kazi na mazingira yanayompatia hiyo hela hakubaliani navyo na ni kinyume cha imani yake. Hivyo akasema ataendelea kujitafutia kipato kwa kuendelea kuuza mboga za mafungu, ingawa mtoto wake hapendi.
Umegusia 20%???Umaarufu ni mzigo sana. Hawa vijana wanaoanza kufanikiwa wanatakiwa kufanyiwa counselling jinsi ya ku-deal na umaarufu. Mwisho wa siku maisha ni uwekezaji sio show off. Wapi waliokuwa maarufu enzi hizo kina Mr. Nice, TID, 20%, Rose Mhando na wengine.
Mtu ametokea familia duni ume-struggle umetoka unaenda kuparamia mademu maarufu wakati kwenu ulipotoka wanatumia choo cha shimo.
Wasanii jifunzeni kuhusu maisha, mahusiano jitahidi uyafiche sana na sio kufanya show off.
kwa hiyo yeye kajala ndie alie mrubuni majani....?Hahah!
Kajala Masanja alirubuniwa na Majani?
Hebu fuatilia harakati za huyo binti tangu kakiwa kaduchu primary huko upate mitkasi zake
Hayo magari amepiga tu picha. Naishi nae jirani hana gari kama hizo.Hvo vitu vannyboy kavfanya Sana chief , watanzania tupunguzie chuki
View attachment 1792900
View attachment 1792901View attachment 1792903
KirobaUnatumia kinywaji gani mkuu?
Tuweke ushabiki pembeni, Ruge alikuwa anashindwa kujenga nyumba....!!! Huwa mnawadharau Sana watu maarufu na hii ni Kwa Tanzania Tu...!! Ukiwa maarufu the rest waliobaki ni kukuchawiaHayo magari amepiga tu picha. Naishi nae jirani hana gari kama hizo.
Hata Davido ukute nae kapiga tu picha. Umaarufu ni upuuzi sana. Marehemu Ruge kafa akiwa anaishi apartment ya chumba na sebule na tuliaminishwa anawanyonya wasanii.
Uwezo alikuwa nao ila hakujenga mpaka anakufa. Wala sina dharau kwa mtu maarufu bali kwa nchi yetu uwa wanajisahau sana. Mwisho wa Ruge haukuwa mzuri hata kidogo nakumbuka mpaka tulipitishiwa bakuli la michango siku za mwisho.Tuweke ushabiki pembeni, Ruge alikuwa anashindwa kujenga nyumba....!!! Huwa mnawadharau Sana watu maarufu na hii ni Kwa Tanzania Tu...!! Ukiwa maarufu the rest waliobaki ni kukuchawia
Pia hilo la kujenga nyumba ni tatizo sana kwa watu. Wanakuwa na uwezo ila wanajisahau mwisho wake uwezo ukiisha wanadharaulika. Ruge ni mfano mzuri sanaTuweke ushabiki pembeni, Ruge alikuwa anashindwa kujenga nyumba....!!! Huwa mnawadharau Sana watu maarufu na hii ni Kwa Tanzania Tu...!! Ukiwa maarufu the rest waliobaki ni kukuchawia
Sitaki nini?Unantenga sana witty yan hata hautaki...