RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

Video hii hapa
IMG-20230711-WA0403.jpg
 
Prof Malima hakufanya Ufisadi wowote ilikuwa propaganda za kumkwamisha asigombee uRais

CAG alipomchunguza pale Hazina hakukutwa na kosa lolote sana Sana Naibu Katibu Mkuu mh Mkoma ndio alionekana kutoa misamaha ya kodi kinyemela bila idhini ya Waziri

Msikaririshwe vijimaneno vya Vijiweni!
Acha uongo wewe, Juma Nkoma alikuwa chawa wa Kighoma Malima na misamaha yote ya kodi hasa kwa wahindi ilitolewa kwa instructions za Malima kwa Juma Mkoma!!
 
Acha uongo wewe, Juma Nkoma alikuwa chawa wa Kighoma Malima na misamaha yote ya kodi hasa kwa wahindi ilitolewa kwa instructions za Malima kwa Juma Mkoma!!
CAG alikuta Misamaha aliyoidhinisha Prof Malima ni ya Vifaa vya Ibada vya Taasisi za Dini

Nilikuwa na Mdidi na Ndugumajani wakati zoezi likifanyika😀😀!
 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

 
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .

Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.


Msikilize mwenyewe 👇

Adam, umeongea vizuri. Matatizo yaliopo sio DP world au Bandari ila ni sisi wenyewe na kauli zetu mbovu kuhusu wazanzibari na kutaka kuleta farakano. Mikataba huwa inawekwa na kujadiliwa na wahusika wakuu. Kama mkataba una matatizo ni kuangalia njia ya kufahamiana na kurekebisha. Leo, akili zetu , zinatupa tuwatukane wazanzibari etc etc. Kwani hapo walipoanza wajuwe tu wazanzibari hawana haja haswa na huu muungano. Huu muungano wa kulazimishana. Na leo tukipata nafasi ya kuendesha nchi yetu nawahakikishieni, chini ya miezi sita, hiyo bandari ya dar itakuwa nyang'a nyang'a. Muungano umeizuia zanzibar kuendelea.
 
CAG alikuta Misamaha aliyoidhinisha Prof Malima ni ya Vifaa vya Ibada vya Taasisi za Dini

Nilikuwa na Mdidi na Ndugumajani wakati zoezi likifanyika😀😀!
Were usiwe Zuzu , Malima akimtumia Juma Nkoma kufanya madudu yake!! Nkoma asingeweza kutoa exemptions zote zile bila Malima kumpa kibali. Ukitaka uhakika wa kweli waulize waliokuwa TRA wakati huo wakina Julius Rutainurwa!!
 
Back
Top Bottom