Vitalis Konga
Senior Member
- Sep 22, 2018
- 127
- 231
Video hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe, Juma Nkoma alikuwa chawa wa Kighoma Malima na misamaha yote ya kodi hasa kwa wahindi ilitolewa kwa instructions za Malima kwa Juma Mkoma!!Prof Malima hakufanya Ufisadi wowote ilikuwa propaganda za kumkwamisha asigombee uRais
CAG alipomchunguza pale Hazina hakukutwa na kosa lolote sana Sana Naibu Katibu Mkuu mh Mkoma ndio alionekana kutoa misamaha ya kodi kinyemela bila idhini ya Waziri
Msikaririshwe vijimaneno vya Vijiweni!
CAG alikuta Misamaha aliyoidhinisha Prof Malima ni ya Vifaa vya Ibada vya Taasisi za DiniAcha uongo wewe, Juma Nkoma alikuwa chawa wa Kighoma Malima na misamaha yote ya kodi hasa kwa wahindi ilitolewa kwa instructions za Malima kwa Juma Mkoma!!
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Adam, umeongea vizuri. Matatizo yaliopo sio DP world au Bandari ila ni sisi wenyewe na kauli zetu mbovu kuhusu wazanzibari na kutaka kuleta farakano. Mikataba huwa inawekwa na kujadiliwa na wahusika wakuu. Kama mkataba una matatizo ni kuangalia njia ya kufahamiana na kurekebisha. Leo, akili zetu , zinatupa tuwatukane wazanzibari etc etc. Kwani hapo walipoanza wajuwe tu wazanzibari hawana haja haswa na huu muungano. Huu muungano wa kulazimishana. Na leo tukipata nafasi ya kuendesha nchi yetu nawahakikishieni, chini ya miezi sita, hiyo bandari ya dar itakuwa nyang'a nyang'a. Muungano umeizuia zanzibar kuendelea.Akizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
Mkuu umemsahamu Nd. Amir Jamal na DCM hawa watatu nadhani nao bora; wanaweza kuingia katika kinyang'anyiro cha tatu bora na wakapata namba.Prof Kighoma Alli Malima na Stephen Kibona ndio Mawaziri bora wa Fedha wa Nyakati Ngumu!
Mkuu na mtoto alihamia wapi?Ngoja nikamsome Kighoma Ali Malima.Alihamia upinzani huyu.Fikra huru mtoto wa Malima.
Mwongo weweEti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Sijui.Hadi nisome au nitafute habari.Mkuu na mtoto alihamia wapi?
Were usiwe Zuzu , Malima akimtumia Juma Nkoma kufanya madudu yake!! Nkoma asingeweza kutoa exemptions zote zile bila Malima kumpa kibali. Ukitaka uhakika wa kweli waulize waliokuwa TRA wakati huo wakina Julius Rutainurwa!!CAG alikuta Misamaha aliyoidhinisha Prof Malima ni ya Vifaa vya Ibada vya Taasisi za Dini
Nilikuwa na Mdidi na Ndugumajani wakati zoezi likifanyika😀😀!
Waarabu ni wastaarabu??!!Hakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli, kiukweli hakuna watu wastaarabu kama Waarabu!.
Maadam Waarabu ni wajomba wa Wazanzibari, na Tanzania bara na Tanzania Visiwani ni nchi moja, then Waarabu ni wajomba zetu!.
P