masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Astakafulahi........!Your now a rotten pig, and so what? Of recent ur completely a pig
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astakafulahi........!Your now a rotten pig, and so what? Of recent ur completely a pig
Hapa kwenye suala la DPW hakuna cha collective responsibility bali kuna kuburuzana! Serikali haikutoa muda wa kutosha kujadili makubaliano hayo kama inavyoyaita ingawa sisi tunajua ni mkataba.Nimemsikia ila hakuna popote aliposema mkataba wa DPW ni mkataba mbovu!.
Alichosema ni tuwe makini ili tusipigwe, kwasababu huko nyuma, tulipigwa!.
Msimchonganishe Malima na Samia!. Serikali yetu inafanya kazi kwa mtindo wa a collective responsibility, serikali ikiisha sema ndio, Bunge likasema ndio, chama tawala, chama cha Mapinduzi, CCM, kikasema ndio, hawezi tena kuibuka mserikali yeyote akasema sio, huko kutakuwa ni kwenda kinyume cha kanuni ya collective responsibility.
Kwenye kanuni hiyo ya a collective responsibility, ukiamua kutofautiana na uwajibikaji wa pamoja ni unajinyamazia kimya!. Ukijiona huwezi kunyamaza, kwanza ana resigns ndipo unapinga!.
Hivyo mleta mada umepotosha!, usimlishe maneno Adam Malima.
P
Wewe kilikuzuia nini kutoa maoni kama ya Malima hapo mwanzo?Kaongea vizuri kabisa. "Tutazame tutakapoingia ubia hili linafaa hili halifai...".
Na hayo ndiyo serikali yoe inasema hivyo, kila mtu kinamna ya kuongea kwake".
Ubia bado, mkataba bado. ndiyo yote hayo yanapitiwa kwa kina kwa sasa na wataalaam wetu. Heko Malima.
Waandishi wa habari siku hizi wamekuwa ni mawakala wa matangazo, kwenye "bahasha" kubwa ndiko wanakoelemea.Ila kwenye hii issue ya bandari NIMEGUNDUA maafsa habari wa SERIKALI na taasis zake zikiwamo wizara, wanatakiwa wajitafakari sana sana... Hawakutoa elimu ya kutosha na kutoa taarifa sahihi kwa WANANCHI na ndo MAANA Kuna mkanganyiko namna hii
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Hata sisi hatujakaa DPW tumekaa hayo makubaliano.Msijibaraguwe, hakuna mahala Malima kapinga bandari isiendeshw na kampuni ya Dubai. Kasema tuwe makini kwenye mikataba. Ambacho ni kitu sahihi kabisa.
Yeah alikuwa Waziri wa Fedha katika Serikali ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.Marehemu Kighoma Ali Malima hajawahi kuwa waziri wa fedha katika serikali ya Mwalimu Julius Nyerere.
Alikuwa na mama Malawi.Usiku anatenguliwa, Zuhura Yunus uko wapi?
BUT akimtengua amelichochea.......... watafuata wengi.....
...katika suala la makubaliano ya bandari wengi tumejua mia zao mbovu, hasa wanao utetea. Hili lina mstari mwekundu wa wanaipenda Tanganyika bila vyeo, utajiri, nasaba na husuda na wale wenye nia hasi na Tanganyika. Je huyo old school yupo upande gani? Halafu wasio werevu huzeeka pia. You can be old school of fools.He is old school
Tanganyika haikuhitaji kero 24 za muungano. Ilihitaji mikataba mibovu tu ijitenge. Huu ni mwanzo. Ngoja tuone mwisho wa haya utaleta matokeo gani...Adam amempiga kijembe Maza ambaye wajomba zake ni Waarabu wa Oman.
Umemuelewa malima lakin??Hata kusoma kuelewa huwezi unawaza chuki
Kasema Si wajomba zetu hajasema ni wajomba zetuEti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Akikujibu nitagUmemuelewa malima lakin??
Sikujua kama huko chama pendwa bado wako watu wenye akili. Hongera RC kwa kusema kweli. Mungu akulindeAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇
atnguliwe kwa nn hayo ni mapendekezo na maoni yake na ana haki ya kufanya vile.Bado hajatenguliwa?
Kama alivyofanya Mzee Butiku!Ulitaka atamke hivyo hivyo kabisa? Seriously? Alitumia polite way kufikisha ujumbe wake.
Ni personalities mbili tofauti unazungumziaKama alivyofanya Mzee Butiku!
Wewe mpuuzi na mjinga na kumbe una chuki za kidini na sio kukosa.Eti waarabu wajomba zake..si akaishi nao sasa..tuacheni rasilimali zetu hatavizazi vyetu vitatakuja kusahihisha pale mlipo shindwa
Wewe ajuza hakika umechanganyikiwa, hujui kwamba hujui na ndio maana unatumika kama tambara la kudekia sakafu. Hebu msome huyu mbunge anasemaje...Mkataba bado jamani, muelezwe vipi? Labda hamuelewi kuwa kuna kampuni tatu mpaka sasa zinagombania bandari ya Dar. Sasa nyinyi kuona Mkubaliano ya serikali ya Dubai na Tanzania, mkachukulia, ooh tayri. Hapana, mkataba bado una michaakato yake.
SawaWell said,
Ni vema wakamwelewa mwenzao.
This guy is smart! Ngoja tuone kama SSH atamtumbua! Na wale mawaziri, MaRC, Ma DC, MARAS, MADAS etc wanajitia uchawa katika mamlaka yao nao waondoe funza vichwani! Ahsante Comrade Malima kuna kiroboto mmoja DAS wa Busega anawashwa kuhitaji damu ajifunze harakaAkizungumza katika kipindi cha Good morning Wasafi FM, Malima ambae marehemu baba yake aliwahi pia kuwa waziri wa fedha kipindi cha Nyerere, amesema Kinachopingwa sio ufanisi wa bandari bali ni vipengele vya mkataba, na huko nyuma, 1998 Tanzania iliwahi Ingia mikataba mibovu ya madini, na alipokuwa waziri wa nishati miaka kumi baadae wakaikataa .
Akafafanua zaidi amesema kwamba Waarabu sio wajomba zetu na hivyo muhimu ni kuangalia vifungu vyenye shida virekebishwe kwa maslahi ya taifa na si vinginevyo.
Msikilize mwenyewe 👇