RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe yaleeni tu kindez dez.
Tatizo ni wazazi sio watoto, mtoto ukimnyoosha tangu nyumbani shuleni hawezi sumbua anajua nikisumbua shuleni Moto utakaotoka nyumbani sio wa nchi hii nitauliwa (nitachapa vibaya) na baba akijua Mimi shuleni ni mtukutu, sasa Toto linalelewa na single mother balaa linaanzia hapo
 
Tatizo ni wazazi sio watoto, mtoto ukimnyoosha tangu nyumbani shuleni hawezi sumbua anajua nikisumbua shuleni Moto utakaotoka nyumbani sio wa nchi hii nitauliwa (nitachapa vibaya) na baba akijua Mimi shuleni ni mtukutu, sasa Toto linalelewa na single mother balaa linaanzia hapo
Upo sahihi kabisa shida ya wazazi wa siku hizi hawajui kulea watoto kwenye maadili mema, wakisaidiwa kulea inakua nongwa.
 
Ifikie kipindi serikali iambiwe ukweli kuwa failure kubwa ya wanafunzi inasababishwa na nidhamu mbovu ya wanafunzi na mmomonyoko wa maadili kwa watoto na wazazi wao. Kama tu kupeleka shule watoto hadi watishiwe kukamatwa na mgambo kwa nini wazazi wasiwe maadui wa walimu? Drop out ya wanafunzi ni kubwa sana wenda ni robo ya wanaoandikishwa Kama data hazipikwi. Wanafunzi ni Kama wanalazimishwa kusoma na kufahulu pia baadhi ya wazazi ni Kama wanalazimishwa yaani ni kuleta mausumbufu tu mashuleni.
 
Huo utaratibu wa kufukuza shule wanafunzi wanaofanya makosa yaliyo ainishwa kwenye sheria za shule, mbona uko miaka yote! Sasa udikteta wa huyo Mtaka uko wapi?.

Kuwakumbusha watu kuzisimamia sheria za shule ndiyo udikteta!! Yaani unataka wanafunzi wanaovunja sheria za shule, waachwe tu!! Unataka Taifa liwe na kizazi cha aina gani miaka ijayo?

Wewe kama ungeachwa ufanye unavyotaka wakati unasoma, muda huu ungekuwa wapi? Si ungekuwa umeshachomwa moto kwa ujambazi sugu!!
Je kama angefukuzwa shule asingekuwa jambazi? Yoyote anaye-support watoto watukutu wafukuzwe shule ni juha na hana akili timamu.
 
mpwayungu village pls njoo huku mwalimu mwenzangu, hivi waalimu wa kitanzania wanafeli wapi?,why ubora wa elimu ya Zimbabwe, Botswana ni mkubwa mno kuliko wa kwetu sisi?,why upper class wanasomesha watoto wao western europe (hakuna kufukuzana wala copral punishment),SA,au Zimbos wakati watoto wa walala hoi ndio wasome hapa Mtwivila sec school?,pls POLITICIANS STAY AWAY kwenye mada hii,ninyi ndio mmevuruga foundation ambayo nchi ilitaka kuwa nayo, Makweta commission kuhusu elimu ndio ilitakiwa ituwekee mfumo mzuri wa kielimu nchi hii, yaani muda huu tungekua tunajenga kwenye msingi imara, watoto wangekuwa wanafundishwa coding &programing maana hii ndio future, sisi bado tupo kwenye history ya akina Dr.Livingstone ambayo haitusaidii chochote, mwanafunzi kufukuzwa shule kwangu it's a NO, copral punishment also its a NO
Exactly my thoughts, some stupid goons can't understand this.
Eti watoto watukutu wafukuzwe shule, so what'll be their future? Hivi nchi ambazo zimetuzidi mbali sana na hawana adhabu za viboko wala kufukuzana shule kwanini tusijifunze kwao? Mwanao(ambaye bado ni mwanafunzi) akiwa mtukutu utamfukuza nyumbani kwako? Kwa wale wenye wazazi wa kuwasomesha private schools haitawaathiri sana lakini lakini wale choka mbaya itakula kwao.
 
We ndugu chiembe umesoma comments zilizofuatia andiko lako na umejifunza nini hapo?.

Usiweke au kuandika kwa usuda za kisiasa, kidini nk, kisa kiongozi fulani ni mtu fulani au katokana na mazingira fulani, hiyo ni mbaya sana ndg Mtanganyika.

Kwanza sheria za kufukuza shule mtoto nunda zipo na labda kama huna mtoto nakushauri nenda shule ya jirani kaongee na mwalimu mkuu umuulize je, mtoto anafukuzwa shule kwa kosa gani? -Alafu njoo hapa urekebishe mada yako.

Na watoto hawa wa kizazi kipya wanaolelewa na single parent unataka adekezwe wala asipewe onyo kali la kufukuzwa skuli unadhani kutakuwa na nidhamu hapo?.

Next time angalia logic yako na isimame na uhalisia wa maisha kulingana na matukio, siyo unamuingiza mfu kwenye scenerial isiyomuhusu, -Pole.
 
wazazi ni Kama wanalazimishwa yaani ni kuleta mausumbufu tu mashuleni
Wazazi ndio chanzo cha yote, mzazi anaemnyoosha mtoto kuanzia nyumbani mtoto lazima atakua na nidhamu hadi shuleni, sasa ujinga wa nyumbani ukihamishwa shuleni unakua Mara 3 ya nyumbani
 
Exactly my thoughts, some stupid goons can't understand this.
Eti watoto watukutu wafukuzwe shule, so what'll be their future? Hivi nchi ambazo zimetuzidi mbali sana na hawana adhabu za viboko wala kufukuzana shule kwanini tusijifunze kwao? Mwanao(ambaye bado ni mwanafunzi) akiwa mtukutu utamfukuza nyumbani kwako? Kwa wale wenye wazazi wa kuwasomesha private schools haitawaathiri sana lakini lakini wale choka mbaya itakula kwao.
Nyie ndio wazazi mnalea watoto vibaya ,unataka akifanya makosa ya asifukuzwe
 
Mwalimu hawezi kumfukuza mwanafunzi shule, kamati au bodi ya shule ndio ina mamlaka hayo.
Huo utaratibu wa kufukuza shule wanafunzi wanaofanya makosa yaliyo ainishwa kwenye sheria za shule, mbona uko miaka yote! Sasa udikteta wa huyo Mtaka uko wapi?.

Kuwakumbusha watu kuzisimamia sheria za shule ndiyo udikteta!! Yaani unataka wanafunzi wanaovunja sheria za shule, waachwe tu!! Unataka Taifa liwe na kizazi cha aina gani miaka ijayo?

Wewe kama ungeachwa ufanye unavyotaka wakati unasoma, muda huu ungekuwa wapi? Si ungekuwa umeshachomwa moto kwa ujambazi sugu!!
 
Mwalimu hawezi kumfukuza mwanafunzi shule, bodi au kamati ya shule ndio yenye mamlaka hayo.
Mtaka yupo sahihi maana kaeleza na sababu, wakiadhibiwa wanawashtaki walimu. Ili isiwe tabu na walimu kupotezewa muda wafukuzwe tu, waende wakasome shule za kulipia au wasomeshwe majumbani kwao.
 
Nyie ndio wazazi mnalea watoto vibaya ,unataka akifanya makosa ya asifukuzwe
Wapo wengi ndio maana Wizara ya Elimu imepiga marufuku kupeleka watoto boarding kuanzio miaka 0 mpaka 7 yaan kuna mizazi haijui kulea anazaa mtoto anaenda kumsweka boarding mtoto anarudi hajui hili Wala lile akikaa nae sasa ni balaa yaan daah kuna wazazi inabidi nao waanze kuweshwa mboko kabisa sasa inabidi wachapwe wazazi sio watoto maana wazazi ndio wanafuga uvundo ukianza kunuka walimu wanaonekana wabaya

Nmeandika kwa hisia sababu inauma sana kuna baadhi ya wazazi wanawaharibu watoto wao wenyewe
 
Huo utaratibu wa kufukuza shule wanafunzi wanaofanya makosa yaliyo ainishwa kwenye sheria za shule, mbona uko miaka yote! Sasa udikteta wa huyo Mtaka uko wapi?.

Kuwakumbusha watu kuzisimamia sheria za shule ndiyo udikteta!! Yaani unataka wanafunzi wanaovunja sheria za shule, waachwe tu!! Unataka Taifa liwe na kizazi cha aina gani miaka ijayo?

Wewe kama ungeachwa ufanye unavyotaka wakati unasoma, muda huu ungekuwa wapi? Si ungekuwa umeshachomwa moto kwa ujambazi sugu!!
Acha wivu wewe. Mtaka hakuna RC Tanzania nzima anamfikia kwa utendaji. Na amesema ukweli kabisa. Shule za serikali nidhamu ni Sifuri. Watoto ni singeli tu huku wakiambulia madudu kwenye mitihani hasa O level mpaka serikali inaona aibu kuweka rank maana ni mikiani zipo. Sasa shule binafsi nidhamu iko juu na ufaulu umaendana na nidhamu. Shule za umma bangi na pombe, simu na uovu kibao. Kwa hiyo unataka waendelee kulea wahuni na majizi shuleni wakati hata madarasa hayatoshi? Acha wafukuzwe.kabisa ili waache miundombinu kwa walio tayari kusoma.
Halafu unamuungaje Mtaka na Upinzani? Kuna Jambo umamzushia ili apoteze nafasi yake? Halafu hata akiipoteza wewe na roho mbaya yako hupati chochote Hata akiipoteza Mtaka ni MTU wa watu Sana na hatalala njaa hata kidogo. Huyo mwache kabisa. Magufuli mwenyewe alimvulia kofia tena akaweka wazi kuwa wapo watu washenzi kama wewe walimfanyia vetting mbaya ili tu asipate cheo. Tena walisema eti hatakiwi kuwa hata mkuu wa Wilaya. Shame on them. Mrudisheni Simiyu maana pamepyaya Sana. Jembe liko kazini na kila sekta yumo. Simiyu alikuwa kipaumbele Elimu na alifanikiwa mno. Njombe yuko katika kuvuta wawekezaji kwenye Kilimo. Wewe hizi akili unazo au umebakiza tu za kupiga majungu. Na wewe unajiita Great Thinker. To hell.
 
Back
Top Bottom