Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Zimesikika kwa sauti kubwaFununu zinasema naye ni mtia nia 202....
Anajifanyisha tu asionekane ni adui…
Huyu atapata kura 1 kama Kaka yako P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimesikika kwa sauti kubwaFununu zinasema naye ni mtia nia 202....
Hili sio lilianza jengwa enzi za Mwenda zake? Tunajenga Madaraja ila raia wanalala bila kuoga, Vipa umbeele vyetu ni vya kipuuzi sanaAlhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Nitajuwa mwisho wa Dunia umekaribia. Hili sio Taifa la kifalme.... Labda Nyerere awe kizazi chake kimeangamia
Royol Family, hawa wamezaliwa kutawala wajingaAlhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Ndiyo unauona ukweli sasa hivi wakati nyie pinga pinga mlipinga Mwendazake alipoanzisha ujenzi? Muwe mnatumia akili zenu vizuri kabla ya kupinga kitu.Ajali sasa zitapungua.
Tunampongeza zaidi aliyemalizia kazi. Angetaka asingeendelea na mradi na msingemfanya chochote. Mbona JPM alistopisha mradi wa gesi na hamsemi. Mama anastahili pongezi nyingi sana.Ndiyo unauona ukweli sasa hivi wakati nyie pinga pinga mlipinga Mwendazake alipoanzisha ujenzi? Muwe mnatumia akili zenu vizuri kabla ya kupinga kitu.
Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Na iko siku atakuwa presidahRidhiwani Eti leo ni waziri? JPM angefufuka leo sijui kingetokea nini
Hawa watu ni wanafikia sana kila raisi alikuwa anaogopa kuanza ujenzi kisa ni pesa hakuna chuma kimekuja kimeaza hata bila tozoBora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Kwa hiyo utendaji wa rais unepimwa kwa ujenzi wa madaraja?Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
RIP JPMRIP Magufuli -- Hakika Watu wa kaskazini watakukumbuka daima
Mzee wa 'anaupiga mwingi' nakukumbuka sana kaka ahahahaa...Mzee Riz1 kwa hili hapana ndugu yangu mzee baba loh...[emoji23]
Magufuli kaliacha ujenzi ukiwa umeanza na kufikia 47% so kumpa sifa Samia na kutoonesha shukrani hata kidogo kwa JPM ni unafiki.Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Kodi zetu mzee pia alijengea airport porini chatu.Ndiyo unauona ukweli sasa hivi wakati nyie pinga pinga mlipinga Mwendazake alipoanzisha ujenzi? Muwe mnatumia akili zenu vizuri kabla ya kupinga kitu.