Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani zikiwa ni kodi zetu ndiyo mnapinga kila kitu?Kodi zetu mzee pia alijengea airport porini chatu.
Ipo mingine mingi tu inaendelea, Sgr, jpm Bridge, ikulu Dom, mjiwa wa mtumba, mahospitali kila kona ya nchi, etc, mwambie asitopishe asimalizie tuone itakuwaje!Tunampongeza zaidi aliyemalizia kazi. Angetaka asingeendelea na mradi na msingemfanya chochote. Mbona JPM alistopisha mradi wa gesi na hamsemi. Mama anastahili pongezi nyingi sana.
Hivi ni Mungu kampumzisha kweli au kuna zaidi?Watakubali ki Aina tu kuwa JPM KAFANYA YAKE THEN MUNGU AKASEMA NJOO KIUMBE CHANGU
Bora umeongeaBora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Nyie waKijaninavheni kuwanga mchana kwenye Hilo faraja. Hizo vitambaa vya Nini hapo??Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Badala ya kusifia foundation mwenyewe JPM wanapindisha ionekane jiwe alikua na speed ndogo.Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Baba yake mbona hakulijenga wakati ndo chief wa jimbo enzi hizo.Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Samia na madaraja wapi na wapi? Rizmoko aache mambo yake bana hata babake alishindwa kufikiria kujenga daraja jipya jimboni kwake. Sijawahi kumkubali Magufuli Ila haki na sofa yake apewe.Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Ajali sasa zitapungua.
Ndio zijengewe airport porini.Kwani zikiwa ni kodi zetu ndiyo mnapinga kila kitu?
Kwani daraja ndiyo airport? Hivi wewe .....!?Ndio zijengewe airport porini.
Wanamjaza ujinga ili waendelee kubunya kiaina! Hizo ndiyo tabia za Watoto wa Mjini zilivyo, wenyewe wanakuambia wanaenda na upepo unako vuma!!Hafu huu upuuzi wenu nyie vijana fulani wawili ndani ya baraza ati kila mradi ulikuwa na asilimia za chini ila mama kapiga mwingi naona ka upuuzi mtupu
Lakini ni ndani ya nchi hiihii, me nilifikiri unalalamika kwasababu imejengwa kwenye pori la nchi jirani.Ndio zijengewe airport porini.