jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Na bila Wajinga Dunia haizunguki!!Kumbe wajinga wengi sana Tanzania hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bila Wajinga Dunia haizunguki!!Kumbe wajinga wengi sana Tanzania hii.
Kwa hiyo unataka kusema kua Rizi Moko ni mpango mkakati!!Inafikirisha...
JPM alizindua miradi mingi ya JaKaya...wapambe wakampa sifa.
Leo hii wapambe wanampinga Ridhiwani kumpatia sifa Samia kwa kukamilisha miradi aliyoanzisha Jpm
Kumbe wajinga wengi sana Tanzania hii.
umecheleweshwa na naniSafi sana mama mhe rais samia. Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa
Daraja liitwe Magufulii hahaaaaa kaskazini watu walimchukiaaaKweli kabisa wa kukumbukwa hapa ni Magufuli.R.I.P
Nadhani ni haki ya kila Mtz mwenye sifa stahiki. Sasa inawezekana huyu Hana sifa zaidi ya kuwa mtoto wa ex President.Kuna Mahala Katiba ya Tanzania imepiga marufuku mtoto wa aliyekuwa Rais asigombee Urais.?
Nionyeshe nchi moja duniani ambapo Katiba imepiga marufuku mtoto wa Rais kugombea Urais.
Kipimo unachotumia kumpimia Magufuli ni Cha ovyo zaidi. Hata hayo madaraja nayo ni kipimo tosha. Na ndiyo maana hata anayeendelea kumalizia hayo madaraja naye tunamsifia pia. Na Kwani Ulitaka tumpime Kwa idadi ya safari za nje?Kwa hiyo utendaji wa rais unepimwa kwa ujenzi wa madaraja?
Magufuli alikuwa rais wa ovyo mnoo, huu ujinga ulipandikizwa na Magufuli.