Ridhiwani: Daraja la Wami ni alama nyingine ya uhakika wa utendaji wa Rais Samia

Ridhiwani: Daraja la Wami ni alama nyingine ya uhakika wa utendaji wa Rais Samia

Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.

Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Marais wa nchi hii hawana LIGI WALA KOMBE WANALOGOMBEA. Nchi inaendeshwa kwa mfumo rasmi. Akitoka huyu anaendeleza mema ya mtangulizi wake. Kosa moja naliona kwa baadhi ya watu kufikiri kuna Tanzania ya Hayati mpendwa JPM na Tanzania ya mpendwa Mhe. Rais Samia. #Tusitengeneze sumu. Rais Samia anafanya mema kwa manufaa ya nchi.🙏🙏🙏
 
Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.

Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.

Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.

View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Nakubaliana na Riz1 kwa sababu Mwendazake aliishia kuanzisha miradi na ikamshinda yote..

Haiingii akilini kadaraja kadogo kama Wami kanajengwa Kwa awamu nzima ya Mwendazake hakaishia ila chini ya miaka 2 Rais Samia kafuta..

Na ikumbukwe Kwa mara ya kwanza Mbarawa ameenda kukagua daraja likikuwa 50% miaka 3 lakini ndani ya mwaka na nusu limekamilika..

Iko hivyo kwenye miradi yote,sasa Kazi ya Mwendazake ilikuwa ni nini ikiwa hata Stand ya Magufuli aliyozindua ilikuwa haijakamilika?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221030-083221.png
    Screenshot_20221030-083221.png
    52.2 KB · Views: 1
Nakubaliana na Riz1 kwa sababu Mwendazake aliishia kuanzisha miradi na ikamshinda yote..

Haiingii akilini kadaraja kadogo kama Wami kanajengwa Kwa awamu nzima ya Mwendazake hakaishia ila chini ya miaka 2 Rais Samia kafuta..

Na ikumbukwe Kwa mara ya kwanza Mbarawa ameenda kukagua daraja likikuwa 50% miaka 3 lakini ndani ya mwaka na nusu limekamilika..

Iko hivyo kwenye miradi yote,sasa Kazi ya Mwendazake ilikuwa ni nini ikiwa hata Stand ya Magufuli aliyozindua ilikuwa haijakamilika?👇
Naona upo kwenye harakati zako za kutafuta hela ya kula😂.
 
Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.

Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.

Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.

View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Hivi viherehere front sijui vitaisha lini?
 
Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.

Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.

Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.

View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Sukuma gang wataporomosha matusi hatari
 
Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.

Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Dikteta ni wakulaniwa sio kusifiwa
 
Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.

Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Huyu Mtoto wa JK anachekesha sana....ni very average...Pole kwake.
Kwa akili yake anahisi anaweza kupambana na JPM?...aisee hiki ni kituko...
 
Inafikirisha...
JPM alizindua miradi mingi ya JaKaya...wapambe wakampa sifa.

Leo hii wapambe wanampinga Ridhiwani kumpatia sifa Samia kwa kukamilisha miradi aliyoanzisha Jpm
 
Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.

Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.

Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.

View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
RIP President Dr. John Joseph Pombe Magufuli, Your legacy will live on. Watu wanaokota point za mezani tu
 
Back
Top Bottom