imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Pesa (kodi) nyingi imepotea kwa kukosa vipaumbele.Lakini ni ndani ya nchi hiihii, me nilifikiri unalalamika kwasababu imejengwa kwenye pori la nchi jirani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa (kodi) nyingi imepotea kwa kukosa vipaumbele.Lakini ni ndani ya nchi hiihii, me nilifikiri unalalamika kwasababu imejengwa kwenye pori la nchi jirani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marais wa nchi hii hawana LIGI WALA KOMBE WANALOGOMBEA. Nchi inaendeshwa kwa mfumo rasmi. Akitoka huyu anaendeleza mema ya mtangulizi wake. Kosa moja naliona kwa baadhi ya watu kufikiri kuna Tanzania ya Hayati mpendwa JPM na Tanzania ya mpendwa Mhe. Rais Samia. #Tusitengeneze sumu. Rais Samia anafanya mema kwa manufaa ya nchi.🙏🙏🙏Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Nakubaliana na Riz1 kwa sababu Mwendazake aliishia kuanzisha miradi na ikamshinda yote..Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Naona upo kwenye harakati zako za kutafuta hela ya kula😂.Nakubaliana na Riz1 kwa sababu Mwendazake aliishia kuanzisha miradi na ikamshinda yote..
Haiingii akilini kadaraja kadogo kama Wami kanajengwa Kwa awamu nzima ya Mwendazake hakaishia ila chini ya miaka 2 Rais Samia kafuta..
Na ikumbukwe Kwa mara ya kwanza Mbarawa ameenda kukagua daraja likikuwa 50% miaka 3 lakini ndani ya mwaka na nusu limekamilika..
Iko hivyo kwenye miradi yote,sasa Kazi ya Mwendazake ilikuwa ni nini ikiwa hata Stand ya Magufuli aliyozindua ilikuwa haijakamilika?👇
Nilishavuka hiyo levelNaona upo kwenye harakati zako za kutafuta hela ya kula😂.
Hivi viherehere front sijui vitaisha lini?Alhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Sukuma gang wataporomosha matusi hatariAlhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189
Dikteta ni wakulaniwa sio kusifiwaBora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Huyo atasifiwa kwa kuua democracy na watu wakeSiyo JPM tena? Duhh kura hutoa watu akili.
Ndiyo unauona ukweli sasa hivi wakati nyie pinga pinga mlipinga Mwendazake alipoanzisha ujenzi? Muwe mnatumia akili zenu vizu
Ye atakumbukwa kwa utekaji na kuchafua taswila ya Nchi kimataifaya kupinga kitu.
Lakini ana mazuri yake pia, kumbuka yeye siyo Malaika,ni Binaadamu Kama wwe!!Dikteta ni wakulaniwa sio kusifiwa
Kumbe wajinga wengi sana Tanzania hii.Safi sana mama mhe rais samia. Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa
Huyu Mtoto wa JK anachekesha sana....ni very average...Pole kwake.Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.
Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
RIP Magufuli -- Hakika Watu wa kaskazini watakukumbuka daima
RIP President Dr. John Joseph Pombe Magufuli, Your legacy will live on. Watu wanaokota point za mezani tuAlhamisi ya wiki hii, Oktoba 27, 2022, Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete ameshiriki shughuli ya ufunguzi wa Daraja la Mto Wami ambalo liko ndani ya Jimbo lake la Chalinze.
Daraja la Mto Wami limekamilika kwa 96% na litakapokamilika litaweza kuishi kwa Miaka 120. Daraja la Mto Wami linalounganisha Mkoa wa Pwani na Tanga, wakati Rais Samia anaingia madarakani Utekelezaji wake kwa zaidi ya miaka mitatu ilikuwa kwa asilimia 47 tu lakini ndani ya miezi 18 ya kwanza ya Rais Samia, Ujenzi wa Daraja hili kubwa sana na la kisasa umefanyika kwa asilimia 49.
Akizungumza baada ya kutembelea na kufanya shughuli ya ufunguzi wa Daraja hili, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ukamilishaji wa Daraja hili ni alama nyengine ya Utendaji wa uhakika wa Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2401186View attachment 2401187View attachment 2401188View attachment 2401189