Ridhiwani: Daraja la Wami ni alama nyingine ya uhakika wa utendaji wa Rais Samia

Tunampongeza zaidi aliyemalizia kazi. Angetaka asingeendelea na mradi na msingemfanya chochote. Mbona JPM alistopisha mradi wa gesi na hamsemi. Mama anastahili pongezi nyingi sana.
Ipo mingine mingi tu inaendelea, Sgr, jpm Bridge, ikulu Dom, mjiwa wa mtumba, mahospitali kila kona ya nchi, etc, mwambie asitopishe asimalizie tuone itakuwaje!
 
Huyu dogo hawezi kusema lolote zuri kumhusu Magu maana alibinywa sana na Magu kwenye dili zake chafu. Wacha asifie aliempa ulaji lakini ajue Wami hiyo ni maelekezo ya Magu, akili (design) ni ya Marehemu Mfugale bingwa wa madaraja, waziri msimamizi akiwa Kamwelwe.
 
Nyie waKijaninavheni kuwanga mchana kwenye Hilo faraja. Hizo vitambaa vya Nini hapo??
 
Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.

Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Badala ya kusifia foundation mwenyewe JPM wanapindisha ionekane jiwe alikua na speed ndogo.
Nchi ina wanafki wengi sana
 
Bora hata ungemsifia Magufuli, walau ningekuelewa. Maana hilo daraja lilishakuwepo kwenye mpango wa ujenzi kitambo tu! Changamoto ilikuwa ni mtu wa kuanzisha ujenzi wake.

Huyo mama yako atakumbukwa kwa kuanzisha tozo za kukurupuka tu na Madelu wake.
Baba yake mbona hakulijenga wakati ndo chief wa jimbo enzi hizo.
 
Hafu huu upuuzi wenu nyie vijana fulani wawili ndani ya baraza ati kila mradi ulikuwa na asilimia za chini ila mama kapiga mwingi naona ka upuuzi mtupu
 
Samia na madaraja wapi na wapi? Rizmoko aache mambo yake bana hata babake alishindwa kufikiria kujenga daraja jipya jimboni kwake. Sijawahi kumkubali Magufuli Ila haki na sofa yake apewe.
 
Hafu huu upuuzi wenu nyie vijana fulani wawili ndani ya baraza ati kila mradi ulikuwa na asilimia za chini ila mama kapiga mwingi naona ka upuuzi mtupu
Wanamjaza ujinga ili waendelee kubunya kiaina! Hizo ndiyo tabia za Watoto wa Mjini zilivyo, wenyewe wanakuambia wanaenda na upepo unako vuma!!
 
Mjomba Magufuli alianzisha ujenzi,Mama anamalizia ujenzi.Wote wanastahili pongezi.
Kama Magu asingeanzisha ujenzi,Mama asingemalizia ujenzi.
Lakini kama Mama asingeendelea kuweka pesa kwenye mradi huo ungesua sua kwa kipindi kirefu.
Mama amerithi miradi mikubwa ya Mjomba Magu lakini amejitahidi kuiendeleza kwa kuitengea pesa stahiki bila propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…