Hiyo shule imefanya vizuri sana, hakuna 3, 4 na ziro.Nilitaka nishangae,seminari ya Kiislamu kufanya Vizuri.
Yaani umekaza,sijasema wanalazimishwa kula kitimotoNa mnalazimishwa kuswali??????Kuna mdau kasema pale peramiho secondary school watoto wetu wa kiislamu wanalazimishwa kula nguruwe!!!Ndio tunataka tumfuate mkuu wa shule tumuulize kulikoni????
Weka hapa hiyo Hadith.....Tatizo mnatumia nguvu nyingi kijitetea ...Papa ameruhusu tayari...ni kosa kugomea maagizo ya papa.Mimi nilikua sijazaliwa alikua anawanyonya maswaiba wake nanukuu adithi na aya za vitabu vyake na vya maswaiba wake!!!
Amin,wamejitahidi vilivyoMaa shaa Allah,
Vijana wetu wamefanya vizuri sana, Mola awaongoze katika safari yao ya Masomo ya juu
Tution ni lazima kwakweliUsisahau kumpeleka tuisheni
Yeah kila pahala na Sheria zake,najua hata nawe mtu akija kuishi kwako pia afuate Sheria zako.
Hao ni wachawi,furaha yao ni kuwaona wenzao wanaumia kila siku,Hiyo hiyo shule imefanya vizuri sana, hakuna 3, 4 na ziro.
Wanafunzi wote ni 1 na 2 only.
Matokeo aliyoweka huyo mbwa ni ya private candidate, ambao kutlfeli ni kawaida kwa vituo vingi vya mitihani ya private candidate.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mawardat unajua hapa JF upo na wadau wa sekta mbalimbali,na taasisi za serikali pia!!!!!Chochote unachosema kama kinahatarisha usalama wa nchi lazima kifanyiwe kazi!!!!Taarifa zako zitafanyiwa kazi na usisite kuwapa ushirikiano!!!Asante sanaYaani umekaza,sijasema wanalazimishwa kula kitimoto
[emoji23][emoji23][emoji23]Inshallah mja wa mnyaaz Mungu
Lazima tuwatie adabu makaafri na mayahudi wafuate aliyotuusia mtume wetu
Unamlaje nguruwe?Mimi nakula sababu sisi wabantu tunakula kila kitu mpaka panya!!!Waarabu,wahindi na wayahudi ndio hawalii nguruwe na nyie watu wa dini za kigeni ndio mnaita nguruwe haram!!!Sisi waafrika wabantu halisia tunakula tu
ME kama PAPA.Kama wewe ni jinsia KE karibu sana!!!!!Unakaribishwa kwa mikono miwili MANDINGO YUPO!!!!!
Ila usiziamini sana hizi shule za serikali!!!!Kuna uhaba wa walimu wenye uweledi!!Tution ni lazima kwakweli
Division three Moja ya kikeAcha ghilba kuhadaa wasomaji. Asante.
Na mnalazimishwa kuswali??????Kuna mdau kasema pale peramiho secondary school watoto wetu wa kiislamu wanalazimishwa kula nguruwe!!!Ndio tunataka tumfuate mkuu wa shule tumuulize kulikoni????
Niwape ushirikiaono was Nani?Mawardat unajua hapa JF upo na wadau wa sekta mbalimbali,na taasisi za serikali pia!!!!!Chochote unachosema kama kinahatarisha usalama wa nchi lazima kifanyiwe kazi!!!!Taarifa zako zitafanyiwa kazi na usisite kuwapa ushirikiano!!!Asante sana
kila shule na utaratibu wake nenda kachukue fomu utalatibu wote utaukuta hapo hapa jf kumejaa fitina na chuki za kishama na kimasiniWamefanya vizuri sana kwenye matokeo ya kidato cha nne. Swali langu ni je wanawapokea watoto wa kikristo? Na kama Wana wapokea je Wana sharti la watoto lazima kuswali msikitini? Au kama ni Mkristo basi afuate tu sheria za shule na mavazi?
Naomba kujuzwa tafadhali
Sisi waafrika tunakula nyama ya nguruwe!!!!Hayo mambo ya haramu ni kwenye dini zenu za kigeni!!!!Nguruwe na ndizi za kuchoma na pombe ya KANYASO!!!Unamlaje nguruwe?
OkNiwape ushirikiaono was Nani?
Tuachane na hii ligi ya kiimani,kila Iman na Sheria zake.
Huo ni ukolofiWamefanya vizuri sana kwenye matokeo ya kidato cha nne. Swali langu ni je wanawapokea watoto wa kikristo? Na kama Wana wapokea je Wana sharti la watoto lazima kuswali msikitini? Au kama ni Mkristo basi afuate tu sheria za shule na mavazi?
Naomba kujuzwa tafadhali
Walimu wapo na wanapambana si unajua shule mpya majengo mapya kila kitu kipya, wanaogopa kutoa zero,Ila usiziamini sana hizi shule za serikali!!!!Kuna uhaba wa walimu wenye uweledi!!