Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Nilitaka nishangae,seminari ya Kiislamu kufanya Vizuri.
Hiyo shule imefanya vizuri sana, hakuna 3, 4 na ziro.

Wanafunzi wote ni 1 na 2 only.

Matokeo aliyoweka huyo mbwa ni ya private candidate, ambao kufeli ni kawaida kwa vituo vingi vya mitihani ya private candidate.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Inshallah mja wa mnyaaz Mungu

Lazima tuwatie adabu makaafri na mayahudi wafuate aliyotuusia mtume wetu

Yeah kila pahala na Sheria zake,najua hata nawe mtu akija kuishi kwako pia afuate Sheria zako.
 
Hiyo hiyo shule imefanya vizuri sana, hakuna 3, 4 na ziro.

Wanafunzi wote ni 1 na 2 only.

Matokeo aliyoweka huyo mbwa ni ya private candidate, ambao kutlfeli ni kawaida kwa vituo vingi vya mitihani ya private candidate.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hao ni wachawi,furaha yao ni kuwaona wenzao wanaumia kila siku,

Nimependa mwaka huu hakuna top ten hii imekaa poa Sana,
 
Yaani umekaza,sijasema wanalazimishwa kula kitimoto
Mawardat unajua hapa JF upo na wadau wa sekta mbalimbali,na taasisi za serikali pia!!!!!Chochote unachosema kama kinahatarisha usalama wa nchi lazima kifanyiwe kazi!!!!Taarifa zako zitafanyiwa kazi na usisite kuwapa ushirikiano!!!Asante sana
 
Inshallah mja wa mnyaaz Mungu

Lazima tuwatie adabu makaafri na mayahudi wafuate aliyotuusia mtume wetu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu mna vitukooooo
Hizi dini zisitugawe jamani sisi ni Waafrika na mbele za hao waanzilishi wa hizo dini tunaonekana dhalili, maskini, nyani, omba omba, akili duni na mambo yote mabaya.
 
Mimi nakula sababu sisi wabantu tunakula kila kitu mpaka panya!!!Waarabu,wahindi na wayahudi ndio hawalii nguruwe na nyie watu wa dini za kigeni ndio mnaita nguruwe haram!!!Sisi waafrika wabantu halisia tunakula tu
Unamlaje nguruwe?
 
Mimi ni shekh ila mdudu natafuna hata wewe shekh wangu ukionja mdudu huwezi acha

Kuswali ni lazima shekh tutaionaje pepo km hatukuswali
Tutaionaje pepo km hatukuoa wake wanne
Tutaionaje pepo kama hatujaenda maka kumtwanga shetwani mawe
Na mnalazimishwa kuswali??????Kuna mdau kasema pale peramiho secondary school watoto wetu wa kiislamu wanalazimishwa kula nguruwe!!!Ndio tunataka tumfuate mkuu wa shule tumuulize kulikoni????
 
Mawardat unajua hapa JF upo na wadau wa sekta mbalimbali,na taasisi za serikali pia!!!!!Chochote unachosema kama kinahatarisha usalama wa nchi lazima kifanyiwe kazi!!!!Taarifa zako zitafanyiwa kazi na usisite kuwapa ushirikiano!!!Asante sana
Niwape ushirikiaono was Nani?

Tuachane na hii ligi ya kiimani,kila Iman na Sheria zake.
 
Wamefanya vizuri sana kwenye matokeo ya kidato cha nne. Swali langu ni je wanawapokea watoto wa kikristo? Na kama Wana wapokea je Wana sharti la watoto lazima kuswali msikitini? Au kama ni Mkristo basi afuate tu sheria za shule na mavazi?

Naomba kujuzwa tafadhali
kila shule na utaratibu wake nenda kachukue fomu utalatibu wote utaukuta hapo hapa jf kumejaa fitina na chuki za kishama na kimasini
 
Wamefanya vizuri sana kwenye matokeo ya kidato cha nne. Swali langu ni je wanawapokea watoto wa kikristo? Na kama Wana wapokea je Wana sharti la watoto lazima kuswali msikitini? Au kama ni Mkristo basi afuate tu sheria za shule na mavazi?

Naomba kujuzwa tafadhali
Huo ni ukolofi
 
Ila usiziamini sana hizi shule za serikali!!!!Kuna uhaba wa walimu wenye uweledi!!
Walimu wapo na wanapambana si unajua shule mpya majengo mapya kila kitu kipya, wanaogopa kutoa zero,

Huyu dogo primary kasoma private,

Nina dogo mwingine Alison's private primary na seco ni government shule mpya Mbinga girls,miaka mitatu hawakutoaga zero Wala 4,lkn Sasa ni mazero Kama yote.
 
Back
Top Bottom