Kumbe kweliiii, aseeeh bas hatareee mnoo.Watoa maamuzi wa TRC iendeshweje, ndio wenye malori ya kusafirisha mizigo na mabasi ya kubeba abiria nchi nzima. Usione basi limeandikwa SUMRY ukadhani ni la yule mkinga pekee..!!! Usikute hata akina Jeni Mhagama womo au Selous, akina Makinda ya ndege nao wamo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afute TTCL ? Atakuta kiti hakipo[emoji850][emoji411]
Mabeberu mnawaonea sana wakati Kazi yao ni kutafta tu faida, software nyingi za mawasiliano wao ndio wanakuuzia sema sisi watanzania hatuma mawazo ya pamoja kila mmoja na Lake hivyo kuleta ushabiki na ujinga kwenye vitu vya msingi.TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Hayo mashirika anaposema yafutwe sio kama hayatokuwepo mbadala hapana .... kwa huku bongo tunakasumba kama shirika likishajijenge kwenye upigaji hata aje nan mwema kama hatojiunga nao basi atapigwa kitu kizito aondolewe, akimbie ama arogwe afe... so bora yafutwe tuuUmeshaondoka kwenye point, Mimi sio mtumishi mimi napambana na box. Shirika kufanya vibaya solution yake sio kulifuta.
Shirika kufanya vibaya tafsiri yake ni uongozi mbaya. Ndio maana nikasema kama shirika ambalo lipo ndani ya wizara linafanya vibaya vipi kuhusu wizara?
Kuna wizara mara nyingi amekua akilalamika kufanya vibaya, mbona hatuzifuti?
Hayati hakuwa na mradi, miradi ya watanzania hii.Target ni hapa TRC, ATCL lazima miradi ya hayati ipukutishwe
Sijakuelewa, yaani shirika linafutwa alafu linaletwa mbadala? Hilo mbadala litakaloletwa litakua halina upigaji?Hayo mashirika anaposema yafutwe sio kama hayatokuwepo mbadala hapana .... kwa huku bongo tunakasumba kama shirika likishajijenge kwenye upigaji hata aje nan mwema kama hatojiunga nao basi atapigwa kitu kizito aondolewe, akimbie ama arogwe afe... so bora yafutwe tuu
Lina binafsishwaSijakuelewa, yaani shirika linafutwa alafu linaletwa mbadala? Hilo mbadala litakaloletwa litakua halina upigaji?
ATCL, TRC na NDC ni mashirika muhimu kwa uchumi wa nchi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
Hayo mashirika ni mali ya taifa yaani assets hivyo huwezi kuyabinafsisha kwa watu binafsi.Lina binafsishwa
Ukisema yafutwe unakuwa wajishusha sana kifikra.Hayo mashirika anaposema yafutwe sio kama hayatokuwepo mbadala hapana .... kwa huku bongo tunakasumba kama shirika likishajijenge kwenye upigaji hata aje nan mwema kama hatojiunga nao basi atapigwa kitu kizito aondolewe, akimbie ama arogwe afe... so bora yafutwe tuu
Unarudi kipindi cha Mwinyi[emoji23][emoji23][emoji23], utabinafsisha nchi nzima mwishoe wakuchukulie nchi yako yote.Lina binafsishwa
Mawazo ya kijima kutoka kwa wale wanaitwa BBC (Born Before Computers). Dunia hii kama hacker/Intruder anaweza kiingilia mawasiliano ya Vodacom kutaka kujua siri za Serikali basi hashindwi kuingia hata hizo za TTCL.TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Hata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Kuna wakati wala huhitaji kujua hivyo vitu ili kuwa kiongozi mzuri, management skills, uzalendo na kuweka mbele maslahi ya nchi..Wakurugenzi wa hayo makampuni yote wameteuliwa. Hakukua na interview Wala nini.
Tangaza kazi hizo watu wenye sifa wajitokeze.
Mfano mzuri, Maharage alifanyishwa na Nani interview? Sidhani Kama anajua kwamba Power =| squared R ama V=IR
Hayati hakuwa na mradi, miradi ya watanzania hii.
Hatari kubwa..!! Watoa maamuzi wameficha mali zao kwa weso na nafasi ya kutoa maamuzi. Lakini wanalindana hatariKumbe kweliiii, aseeeh bas hatareee mnoo.
Hapa mwenyewe nimewaza sanaKama Trc inajiendesha kwa hasara hizo pesa zinazoendelea kuwekwa Sgr , zitarudi?