Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Na pia ukikosa ndio utamuelewa vizuri.
Mwanzoni Kwa vile Hana uhakika atakuwa anakustahi lakini akishathibitisha umeishia hapo ndipo utamuelewa vizuri
Haya mambo nlipitia miaka 12 iliyopita,tokea hapo naishi kibaharia tu

Hawa watu Acha kabisa,

Ova
 
Mwanzoni sikua nakuelewa, ila siku hizi kila napoona andiko lako nafungua nasoma vizuri tu hata kama ni shubiri. Kuna vitu najifunza na ni helping....👊👊👊

Barikiwa zaidi Mkuu.

Ukiona kitu nasisitiza kitolee macho na Akili yako yote ifanye kazi.
Kwani mara nyingi nazungumzia uhalisia na sio hisia
 
"Usizingatie sana yale maneno eti ukiwa mke na mtoto ndo unafanikiwa huo sio ukweli,zaidi na zaidi ukiwa na hao watu mapema kabla ya malengo yako kutimia lazima utadondoka au utachelewa kutoboa"
Eti umzalishe ,asikuache Hahaha

Ova
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
mbona siku hizi wanaume wenzetu wengi sana wanatuambia tusiwape wanawake pesa hii imeakaaje kitaalamu ?
hii kitaalamu inaitwa vuka nachako.eee unaweza ukajionea mwenyewe jinsi dada zitu hawa walivo nanguvu yaupambanaji ukizingatia hali yauchumi imebaba kidogo ee nadhani wanna jaribu kutueleza kila mtu apambane nahali yake.kwako enok...😂
 
Barikiwa zaidi Mkuu.

Ukiona kitu nasisitiza kitolee macho na Akili yako yote ifanye kazi.
Kwani mara nyingi nazungumzia uhalisia na sio hisia
Ameen, Nina hulka ya kupenda kujifunza mapya kila siku.yananisaidia...asante kwa maarifa yako.
 
😀😀
Unawahi dozi
Taikuni nimesoma ila mm kiukweli nahonga kinoma alafu nakula kisha napita roma.....ndo niko hivo lazima nimuhonge ili nimzagamue na hua nahonga mara ya kwanza nikashazagamua ntakula bure hadi asepe mwenyewe
 
Kwanza muandiko ni kama wa mwanamke aliyeumizwa sana na kujikatia tamaa.
Kuumizwa ni darasa na uzoefu! kwanza ni sifa!........ na kudhihirisha ubinadamu wangu! hayaumizwi mawe bali watu na mie si ni ntu au!!
Hao Marais na Wafalme walitoka kwenye pumbu na huko ndiko walikozaliwa. So huna hoja bado, vipi kama baba yako angekumwagia chooni ungezaliwa?
Ndo maana nasema weye ni st kayumba kwa sababu, y chromosomes ikiwa kwa mbupu hajawa ntoto kamili!! ntoto kamili ataungana na x nyangine tena! unanipa kazi ya kueleza!....akimwagia chooni huyo ni kichaa!

anahitaji msaada wa dharula! chooni ni sehemu ya kuhifadhi kinyesi cha binadamu mavi siyo mbegu! unasikia nenda kasome tena af uje!
Dada unaonekana upo frustrated mno. Wapi na nani na kwa mamlaka ipi kasema kuwa ni haki mwanaume kuufia uke? Toa reference zenye tija.
Refferences nimekupa kibao narudia.......Iran, Urusi/ukrain zinapigwa mpaka sasa unadhani ni kwa nini???......pesa na wanawake/watoto wao!...leo hii Bongo mnaongozwa na Wakoloni wenu hamfurukuti! kisa?......

wake na watoto wa Mkoloni waendelee kupeta miaka nenda rudi wakt weye Mbongo unafurahia kunenepesha makalio kibinafsi, hutaki kutunza mke na mtoto.

ndo maana yule waziri Davidi cameroon aliwahi kuwaomba nyaa! vidume km weye mchana kweupeee!! kwa sababu mnapenda misaada!!...japo basi ungeficha huu ujinga eti unaonyesha waziiiiii!!

tena basi hiyo hela unayo kula chips peke yako umepewa na Mwanaume mwenzio km msaada! ( Mkoloni uongo??)!..km mie muongo sema wapi mnachapisha hela Bongo hiyo??...mnauza nini nje??

yaani Cameroon hakukosea kwa kauri yake!

ya kusema baadhi ya wanaume Bongo mnafaa kuolewa!! na ndo ukweli! km hutaki kutunza familia manake basi olewa! weye uolewe! ugeuzwe geuzwe Unalia nini?? pesa utapewa tu uongo jamani??

umeweka wazi unatamani kupumuliwa ili upewe hela vizuri ukale peke yako!!
Halafu kumbe hujaelewa post vizuri, ni lazima ule, unywe nk, hela si ni ya me au? Matumizi si ni yake? Acha kupangia watu matumizi ya hela ZAO.
Maweee!! hufai kuoa!! weye ndo hujui hela hiyooo siyo yako ni ya familia yako hupaswi kumega hata nusu! peleka kwa mkeo akupangie matumizi! hata ivo
Hopeless. Ni wapi alisema muishi na MBUSUSU kwa akili? Eti ukishindwa akili huna, wajinga wengi wameibuka kwa kasi
kasome Biblia yoote!
weye hela hizo si zako unazifyatua wapi??

Mashuka safi, nyumba safi, chakula kitamu, watoto wazuri wasafi unawapikia weye?? baraka zote unazipata wapi km si mkeo???
 
Taikuni nimesoma ila mm kiukweli nahonga kinoma alafu nakula kisha napita roma.....ndo niko hivo lazima nimuhonge ili nimzagamue na hua nahonga mara ya kwanza nikashazagamua ntakula bure hadi asepe mwenyewe

Hiyo ni biashara nzuri Sana.
Muhimu kuwa Makini pia na suala la Afya.
Usitake Sifa za kijinga Kwa Wanawake.
Labda awe Mkeo tena MKE mwenye adabu
 
Kwa hiyo mnataka kuniambia hakuna member yeyote wa kike aliyeuona Uzi huu maana nimepitia comments zote za awali ila sijakutana na comment ya kike nyie😂

Wanawake njooni huku muone Robert anavyowadiss😂😂
 
Thibitisha kuwa baraka ZOTE znatoka kwa mke. Otherwise ni pumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…