Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Una uthibitisho upi kuwa hela si zangu?
 
Ume taipu jambo la kuwasaidia vijana wenye upeo na uelewa, safi Sana, Wanawake hawana maana kabisa, ispokuwa kukamata mlupo siku moja moja sio mbaya, usikosee ukauleta unapoishi umekwisha wengi wao pia ni washirikina.
 


Tafuta ela, ukiwa na hela huo ushauri utaona ni rubish tu

Ukiwa Huna ela ndio utaona huo ni ushauri wa maana
 
"Maweee!! hufai kuoa!! weye ndo hujui hela hiyooo siyo yako ni ya familia yako hupaswi kumega hata nusu! peleka kwa mkeo akupangie matumizi! hata ivo"

[emoji115]
Hueleweki unaongelea mwanamke yupi, wife material au mdangaji aliyejivika jina la mke. Then thibitisha hapa kuwa pesa YOTE ni ya familia yangu. Lete ushahidi strong coz hoja yako ina hang bado.
 

Hata wanawake wanaanguka Kwa wanaume

Tena possibly wanawake wanateswa na kupotezewa muda Sana kuliko wanaume

Haya matukio hayako one side yako both side
 
Tafuta ela, ukiwa na hela huo ushauri utaona ni rubish tu

Ukiwa Huna ela ndio utaona huo ni ushauri wa maana

Ukishakuwa na hela, hela ni mungu huwezi mchezea chezea hovyo kijinga.


Vijana masikini kama ninyi ndio mnahangaika kutafuta Pesa ili muwe misukule ya Watu wengine.

Wenzenu wanatafuta Pesa ili watumikiwe
 
"Ndo maana nasema weye ni st kayumba kwa sababu, y chromosomes ikiwa kwa mbupu hajawa ntoto kamili!! ntoto kamili ataungana na x nyangine tena!"
[emoji115][emoji115]
Sasa unajichanganya mwenyewe[emoji38] huyo mtoto katokana na baba au mama? Anzia kwenye development na ORIGIN yake mpaka kuitwa mtoto. Anayezaa ni baba au mama? Kwa nini? Haya St Mary jibu hoja hizo.
 
Hatuwezi kuishi bila ninyi Kwa sababu ninyi ni sehemu yetu.
Ila ninachowaambia Vijana wasiwaendekeze Wanawake(hapa nazungumzia Materialists)

Kumpa mwanamke ela akasuke ni kumdekeza?

Hayo ni majukumu ya mwanaume boss
 
Ukishakuwa na hela, hela ni mungu huwezi mchezea chezea hovyo kijinga.


Vijana masikini kama ninyi ndio mnahangaika kutafuta Pesa ili muwe misukule ya Watu wengine.

Wenzenu wanatafuta Pesa ili watumikiwe

Una fikra za kimaskini ndio shida yako
 
"anahitaji msaada wa dharula! chooni ni sehemu ya kuhifadhi kinyesi cha binadamu mavi siyo mbegu:
[emoji115][emoji115]
Je angekumwaga nje ya k ya mama yako(kumwaga nje) ungezaliwa/ungekuwepo ?[emoji38] haya twende twende
 
"Refferences nimekupa kibao narudia.......Iran, Urusi/ukrain zinapigwa mpaka sasa unadhani ni kwa nini???......pesa na wanawake/watoto wao!...leo hii Bongo mnaongozwa na Wakoloni wenu hamfurukuti! kisa?......"
[emoji115][emoji115]

Unatumia hisia sana halafu unaogopa challenging. Toa uthibitisho SAHIHI kuwa Urusi, Ukraine, Iran etc chanzo cha vita ni WANAWAKE na PESA. Acha story lete facts.
 
"ndo maana yule waziri Davidi cameroon aliwahi kuwaomba nyaa! vidume km weye mchana kweupeee"
[emoji115]
Ni nje ya mada, ni tusi umetoa ili nikate tamaa ya kukuuliza. Una ushamba mwingi. Mimi tayari ni me, hata nikiombwa nya still ni me[emoji38]got it? Usitumie hasira twende mdogo mdogo
 
"yani kusema baadhi ya wanaume Bongo mnafaa kuolewa!! na ndo ukweli! km hutaki kutunza familia manake basi olewa! weye uolewe! ugeuzwe geuzwe Unalia nini?? pesa utapewa tu uongo jamani??"
Umeweka wazi unatamani kupumuliwa ili upewe hela vizuri ukale peke yako!!"
[emoji115][emoji115]

mongst things siziogopi ni maneno hasa matusi. Hayanibadilishi chochote. Jikite kwenye hoja kabila gani wewe? Mbona hujui kujenga hoja? Umekula?[emoji38][emoji28]
 
Wakti mkoloni wenu! adui zenu wana tamka wazi bila kificho nawanukuu ''To EVERY SUCCESSFUL MAN BEHIND THERE'S A WOMAN'' Ajabu ni kuwa nyie watumwa, wa ulimwengu wa tatu ni kinyume!

Mta-tawaliwa/kukoloniwa tena na tena mpaka kiama! tena safari hii hawaji km wakoloni watakuja km BANAKUBA AANGU! na mtawaita ivo kweli kwa sabau hamtaki kuoa !!

wake/Mama/Bibi /binti zenu wataolewa nao hao wakoloni!! mtapata kizazi kingine cha waarabu wengine tena sasa sijui mtamlilia nani?? wkt mmekosea wenyewe!...

mkiwashindwa kutunza wake zenu na watoto wenu manake waje wakoloni wawasaidie kuwatunza! ndo manake, Mungu aliagiza tena wazi kabisaaa watunzwe/muishi nao kwa akili!.......mkishindwa manake nyie watu hamna akili!!

Sasa wenye akili watawasaidia subirini.......yaani wote sasa nyie na sisi tutawekwa kundi moja tutatunzwa na wenye akili kina nani hao....... wakoloni!.....wanaweza kuwageuza manake mmeshindwa majukumu yenu!

Tukiwaambia ukweli oooh! '' mna stress!'' ndiyo tuna stress kwa sababu hatutaki mpotee ajili ya wajinga wachache wenye DNA za kishoga! ambao wao kukaa kivyao! vyao! bila watu na kupika kivyao kwao ni starehe!

Kutunza nyumba/watu wa familia nyumbani, kuogesha watoto kupika jikonink. tumeumbiwa sisi ke! sasa kuna vidume vinatamani hizi kazi! mweee! haayaa yangu ni hayo ila .......

Mnaogopa ku handle stress za kitu mke kweli kabisa wabongo mmefika hukooooooo! tena mnatamka wazi hivi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…