Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Lilisikika jitu Maja lisilo na plani likinena hovyo hovyoTUKAMILISHE RATIBA TURUDI KWENYE LIGI YETU.
SIMBA KUMTOA AL AHLY NI UONGO.
YANGA KUMTOA MAMELODI NI UONGO.
bila shakaNjia nyeupe kwa Simba na Uto kukutana fainali ... kila mmoja ashinde mechi zake tu.
Hiyo ni timu iliyokuwa inaogopwa na kila timu. Mfupa mgumu umeangukia kwa Yanga.Muda wa malipo umefika uto mmesumbua sanaView attachment 2932762
Mamelodi nimewachek ktk ligi yao wanaremba mno,, eneo la mbele wanakosa sana magoli,, tena yule Shalulile wakawaida kwa sasa,, sio yule wa kipindi kile, kwa mpira wa yanga naona kabisa mamelod anakufa kwa mkapa, ila kule kwa madiba sijajua,, japo wanasema ligi na caf vitu viwili tofautYanga kwa mchezaji mmoja mmoja ni wazuri kuliko mamelodi
Afadhali umeona mkuuMamelodi nimewachek ktk ligi yao wanaremba mno,, eneo la mbele wanakosa sana magoli,, tena yule Shalulile wakawaida kwa sasa,, sio yule wa kipindi kile, kwa mpira wa yanga naona kabisa mamelod anakufa kwa mkapa, ila kule kwa madiba sijajua,, japo wanasema ligi na caf vitu viwili tofaut
Mambo ya kupangwa kwa droo wala sio hoja kabisa, kikubwa kukaza,, kwa wachezaji ndio fursa sasa,, kila mchezaji anayepambania ndoto ya kufika mbali hichi ndio kipimo sahihi.Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.
Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Hapo kutoboa ngoma sibya kitoto. Sema kwakua ni kipind Mungu ameamua kunyoosha mkono wake Jangwan bas tusishangae kimasikhara watu wanakula tunda la watoto wa kisauzi🎶🎶🎵Aweeena weeeee Kunjani..
Aweeeeeeee shishaaaaa mi nataka shishaaaaaaaaa.
Aweeeeeeeeeee🎵🎵🎶
Niliona leo asubuhi tu micky jnr kapost kama ilivyo hii draw halafu akaandika draw test. Naagalia post ile nakuta amefuta. Nimejiuliza maswaliNilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.
Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Vigumu sanaHapo kutoboa ngoma sibya kitoto. Sema kwakua ni kipind Mungu ameamua kunyoosha mkono wake Jangwan bas tusishangae kimasikhara watu wanakula tunda la watoto wa kisauzi
Tena ule ukuta wao una matundu kabisa,, kitu nachokiona watu wanahofia bure,, watu wa mpira tunataka mbungi kama hizoAfadhali umeona mkuu
Alipatia game mbili tu, na yeye aliitoa mahala flani, tena alipost janaNiliona leo asubuhi tu micky jnr kapost kama ilivyo hii draw halafu akaandika draw test. Naagalia post ile nakuta amefuta. Nimejiuliza maswali
Mamelody wale hawaangalii upo nyumbani kwako au ugenii..... Wale amapiano wakimdaka yanga ni kumpata na kumjaza moto habari ya cjui yuko nyumbani atajua mwenyeweTutumie viwanja vya nyumbani vzr jameni...
Ni vyema Kwa watu wa Simba ili hii robo tunayoitwa MwakaRobo na wao waione ilivyo ngumu kutoboa nusu.Nilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.
Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
siyo yanga iligongwa na al-ahaly tu juzi utasemaje ina ufadhaliNilichonote hiki kitu droo ilipangwa hata kabla ya haijachezeshwa. Kwa CAF kupita timu mbili za East Africa tena zote Tanzania wasio wafadhiri. Hizo nafasi zinawafurahisha zikipita timu za kiarabu. Droo hakuna kuchezesha wala walipanga tu YANGA na Simba zikutane na timu kubwa za juu. Hivyo.
Pili nimeona mashabiki wa mikia wamefurahia sana sana YANGA kupangwa na Mamelod. Hawafikirii wao kupangwa na kigogo Al Ahly kwamba wanatolewa. Furaha yao kubwa ni kuona YANGA pia inaweza kutolewa.
Nionavyo kwa YANGA kupangwa na Mamelod ni bora tu ksbb hata maandalizi yake yatakuwa makubwa. Kwa mpira wa YANGA lolote linaweza kutokea. Tusubiri dakika 90
Mpira haudundi kwenye matope🤣Kaka hii Hawa mamelodi ntawapiga kama ngoma hawa