Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Badala na wao wapambane wawe vizuri kiuchumi sisi tunaishia kulialia tu kila siku

Ova
 
Basi kama ni hivyo hao waarabu na wahindi watakuwa wamefika kiwango cha juu cha ujinga.

Hao ni wanabuzi sisi hatujafikia hata robo Yao.

Nenda India uone black wanavyobaguliwa taahira wewe!


Unajifungia Tanzania kama likuku lenye ujauzito ndio maana hujui yanavyoendelea duniani
 
Jpm aliua mihimili yote inao unda state lawama zote ziende kwa mwendazake, bunge mahakama na baraza la mawaziri aliziingia nakuweka watu wake
Convax
umebugi hapo, 2015 ndipo Slaa aliachana na Chadema, kama kununuliwa na CCM siyo JPM wakati huo, alikuwa mzee wa Msoga.

These are the facts
 
Safi sana Rostam Azizi.
 
Rost yupo Sahihi kbs ✔️✔️✔️
 
sasa ni uongo? Wakati ni kazi ya mwendazake hii!
 
Billion 2.5 , hata mimi ningeasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…