Rostam Aziz: Mjadala wa Bandari unajadiliwa kishabiki. Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana

Rostam Aziz: Mjadala wa Bandari unajadiliwa kishabiki. Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana

, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
"...nchi imekubaliana..."? Lini ilikubaliana?

"...kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo".
Huko serikalini hapatakiw ikuwepo na uwajibikaji? Sasa tunataka serikali iwepo kwa kazi gani?

Kwa nini tusimwombe Roastam kama mfanya biashara mashuri, anayesimamia "uwajibikaji" ipasavyo kwenye makampuni yake achukue nafasi ya kuendesha serikali kwa "uwajibikaji" ili sisi sote raia tufaidike?

hawa watu wanakariri tu nyimbo na kuzirudia rudia bila hata ya kufikiri maana yake ni nini?

Kamwe huwezi kumsikia hata siku moja akieleza mchango wake katika ukosefu wa "uwajibikaji" huko serikalini. Huu utajiri wanaouzoa kwa kutumia mgongo wa wavuja jasho, anasahau kabisa kuwa na yeye ni sehemu ya kuzorotesha shughuli za serikali zisifanyike kwa ufanisi!
 
Unaelewa maana ya ubunifu?.Kuna nchi zina sera ya boma ya afya toka miaka ya hatujapata uhuru.sasa miaka hiyo mkapa alikua rais wawapi ili rostam awe mbunifu?
Huyo ni chawa kilaza, anafikiri watu wote hapa wana akili za kushikiwa kama yeye.
 
Rostama angejibu maswali, hao DP world walipatikanaje? Mkataba ni wa miaka mingapi? Unajumuisha bandari zote za nchi hii n.k
 
Jamani ninaomba kuuliza walipo
1. Mzee warioba
2. Mzee butiku
3. Pole pole
4. Kabudi
5. Bashiru
6. Job Ndugai
7. Mzee Kinana
8. Chogolo
9. Mzee msuya
10. Mzee Sumaye

Mbona wamepiga kimya Huku Bandari zote Za Tanganyika zinaondoka?
 
..kupoteza muelekeo wa mjadala ni uamuzi wa wanaojadiliana.

..na mfano mmoja ni yeye Rostam anapojaribu kumlisha maneno Mbowe kuwa amezungumzia Utanganyika vs Uzanzibari tu.

..yeye Rostam mbona hakuzungumzia mazuri na mapungufu ya makubaliano ya Dubai / DP na Tanganyika?
Bunge lilipoteza mwelekeo kwa kujadili kauli ya Mbowe ambayo nimeirudia mara nyingi sana sikuona tatizo
Rostam anapoteza mwelekeo kwa kujadili kile kile anachokisema kimepoteza mwelekeo

Hata hivyo, Rostam aliwahi kusema viongozi kutoka Zanzibar ni bora akimsifia Samia kwa uchumi
Ni wazi hapa lazima atachukua upande.
Rostam amesafiri na SSH na kusaini mikataba kule Marekani bila kuwa kiongozi wa serikali, leo utarajie anaweza kupinga mpango wa Rais SSH hata kama ni mbaya!!

Lakini pia uelewe, Rostam ameitenda sana hii nchi, ujio wa DP inaweza kuwa fursa kwake.

Hawa akina Rostam ni CHAWA tu kama wengine tofauti ni wao kuwa chawa wanene kwa sababu ya pesa

Proved
 
Umeishia darasa la ngapi? Nadhani una changamoto kubwa sana ya uelewa.
Si ulisema "...ubunifu..." au hujui maana ya hilo neno?
Wewe ni mjinga.nimekuuliza unajua maana ua ubunifu.au ukishakua chawa ndo na akili zinakutoka.Kwahiyo tanzania ndo nchi ya kwanza kua na bima ya afya duniani?.jinga wewe.
Huyo jamaa unayejibishana naye ni kati ya watu 'bogus' kabisa. Ni kama 'robot' tu, hajui kutumia akili sawasawa.
 
Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.

Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"

Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.

Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).

Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo

(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).

View attachment 2662260
Mpanga Deal la Bandari
 
Kinana muondoe hapo sio mtu mzuri uyo
Jamani ninaomba kuuliza walipo
1. Mzee warioba
2. Mzee butiku
3. Pole pole
4. Kabudi
5. Bashiru
6. Job Ndugai
7. Mzee Kinana
8. Chogolo
9. Mzee msuya
10. Mzee Sumaye

Mbona wamepiga kimya Huku Bandari zote Za Tanganyika zinaondoka?
 
Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.

Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"

Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.

Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).

Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo

(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).

View attachment 2662260

Anaongea hivyo kwa sababu ana maslahi yake huko si ana hisa nae huko ? Huyu ni ndumi la kuwili achaneni nae
 
Waislam amkeni hii ni vita ya dini,
Endeleeni kulala hamjiulizi ni mara ngap watawala wa kigalatia wanafanya madudu na hakuna lolote linalofanyika?
Hawa jamaa Wana chuki mno na haya ni kidogo sana ila wanayoyaficha ni makubwa zaidi
 
Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.

Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"

Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.

Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).

Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo

(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).

View attachment 2662260
Sana sana mtu wa kweli hapo ni jenerali, wengine wote ni wajasilia matumbo yao. Kwani Rostam ni Mtanzania?, hawa wana pasport za kwao,..canada, India, Uingereza, Australia etc etc hapa ni kuchuma tu
 
Mfanyabiashara yeyote anayejua karaha za bandarini na mtu mwenye akili timamu hawezi kupinga huu uwekezaji.
 
Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.

Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"

Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.

Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).

Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo

(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).

View attachment 2662260
Grand master Ayatollah Al Aziz, Tanzania's King maker. Hivi ameshaukana uraia wa Iran
 
Back
Top Bottom