RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Acha mambo ya kitoto .Tusipende kukosoa kila kitu .Heshimu mamlaka
 
hii ni baadhi ya mapatano ya allah na binadamu [emoji867][emoji867][emoji867]
Sijakuelewa.

Wewe nenda kafanye drilling wizara ya kilimo, kuna visima zaidi ya 50,000 vinatakiwa haraka sana. Wewe unapoteza muda JF.

Wahi fursa za mama.
 
Upuuzi tupu

Bandari ni mali na urithi halali ya watanganyika
 
Hilo laviongozi usijali, wewe fanya uarafiki nao. Geuza Tatizo kuwa fursa. Resilience.

Wacha kujitia kitanza kuhusu kilimo. Unaujuwa mpango wake? kama hutaki wewe kulima, nenda ukawe fundi? Kama hutaki nenda ukawe dereva, kama hutaki nenda kaowe au kaolewa na wanaotaka kulima, zote ni fursa.

Wacha ujinga kijana. Shirika lipi la umma unataka kazi mimi nifanyie mpango. naahidi hapahapa mbele ya watu wote wanaotusoma hapa.
 
Ujinga tu kama kawaida yako hakuna la maana uliloandika zaidi ya kupepelea waarabu.
 
Tunaitaka Bandari zetu

Hizi porojo apeleke kizimkazi Sisi hatuzitaki😕
 
Je, Mbunge wa Ngorongoro Mh. Ole Shangazi (CCM) na wapiga kura wake hawahusiki kwenye hiyo "R" ya kwanza? Au Quran inasemaje?
 
Mama Abdul Sasa Hivi Kila Jambo Lake Gumu Huo Ndiyo Ukweli Mchungu Ndugu Zangu
 
Je, Mbunge wa Ngorongoro Mh. Ole Shangazi (CCM) na wapiga kura wake hawahusiki kwenye hiyo "R" ya kwanza? Au Quran inasemaje?
Umeuliza maswali .matatu kwa mkupuo. Kwenye nyanja za elimu huo unaitwa ujinga. Ndivyo mwalimu wako alivyokufundisha? Au Sunday school?

Yachambuwe uulize moja moja, nikujibu, ndiyo kuelimika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…