Angalia hii bichwa marekani anazalisha mbolea ndyo hakunankitu hakizalishwi pale Ila uhitaji ni mkubwa ndyo maana anaagiza bado kutoka Rusia na sababu ya huu mgogoro kaanza kuagiza mbolea kutoka Nigeria kwenye kiwanda kipya cha dangote naona unaruka ruka Tu bila kutoa hoja za masingi1.JF Kuna wajinga wengi sana na huwa wana like posti za kijinga kwa sababu ni wajinga. Usipime hoja kwa likes.
2.BRICS ni umoja kituko ni kama AU tu hata haihitaji kuongelewa hapa.
3.Marekani ianazalisha mbolea yake na kiasi inachoagiza nje asilimia 83 ni kutoka Canada, msipende kulisha watu matangopori.
Rusia anafanya biashara na nchi zote zenye ukwasi na hakuwekeza Africa sababu ya anguko lake lakin taratibu anaanza kurudi kuanzia Nigeria anajenga kinu kikubwa cha kuzalisha umeme kWA kutumia nguvu za nyuklia Rusia uwekezaji wao upo tofauti wao ni kwenye mafuta madini na maeneo ya gesi sababu wamezoea uwekezaji uwoo kwenye nchi yao na yote ni vile tamaduni zao zilivyoo na matajiri waoo biashara wanazozifanyaHawakujiondoa, Russia haijawahi kuwa na biashara kubwa na Africa. Hiyo biashara kubwa na Africa walikuwa wanatuuzia nini?
Hata sasa hivi biashara kubwa ya Russia kwetu Africa na sehemu nyingine ni Ngano na Silaha tu wakati wenzao US, Ulaya, Japan na China wanauza karibia kila kitu hapa kwetu na kwingine duniani. Hakuna cha maana wanachonunua kutoa Africa.
Waliotumia demokrasia nn walikipata unaisi Jambo la hatri linataka kujibizana au kuchukua hatriiAnatamuia njia za kidikteta ili kudhibiti maambukizi.
Kwa elimu gani tuliyonayo watu wanahisi kuwa uwekezaji WA viwanda kwenye nchi unakuja sababu watu wa kufanya kazi wapo watu wakifungua kiwanda cha kuunda chuma wakahitaji watu wenye elimu ya chuma ata 2000 watapatikana au ndyo Hadi tuagize wahindi kutoka nje wajeSasa ndio inabidi serikali yetu ijue inahitaji aina gani za viwanda? na je hao cheap skilled labor wakuperform kwenye hivo viwanda wanapitakanaje / mfumo wa elimu unazalisha cheap skilled labor?
Mfano: Tunapaswa kuanza na viwanda vya kuzalisha cheap products kwa nchi za vipato vya Kati Kama magari cheap kutoka china inabidi sisi Kama Tanzania tuwetunazalisha hapa na kuuza kwenye nchi za vipato vya Kati tofauti na kuagiza china, hivo hivo tunahitaji viwanda vya kutengeneza piki piki, bajaji hapa hapa Tanzania yaaani vifaa vya usafiri vilivyo cheap na sio kuunganisha tu, bidhaa zote cheap kwa nchi za vipato vya Kati tunapaswa kuzalisha sisi Tanzania kwa msaada wa nchi za China , Ulaya kwa viwanda watakavyojenga
Sahihi kabisa ushaidi tosha ni huu👇Kweli wajinga hawajawai kuisha embu jifunze ufunguaji WA makampuni China unavyokuwa unaisi wale ni wajinga kama Sisi viwanda vyote vilivyopo China ambavyo vimetoka nje ya China lazima mzawa amiliki asilia flani ya hisa Kama kampuni itakuwa inaoperet ndani ya China unaisi mabilionea wanaotokea China wanatokea Kwa bahati mbaya makampuni mkubwa yaliyopo China asilimia zaidi ya 50 zinamilikiwa na wazawa kitu kilichowapa pesa na kuanza kununua makampuni ya ulaya na Marekani wachina wamenunua makampuni makubwa sana ya ulaya na wanatoa udhaminj Hadi Kwa clubs na timu nyingi za kikapu za marekani na ulaya Rudi nyuma Kwa swala la Ozil kuongelea waislam WA China wanaofungwa kwenye makamp Hadi kufikia kuwekwa pembeni kwenye kikosi hii yote ni ushawishi WA wachina kutaka kujitoa kwenye udhamni WA timu ya Arsenal timu nyingi kwenye pree season kaszima wakacheze mechi za kirafiki China unaisi wanaenda Kwa kujikomba Hadi kufika 2035 magari mengi ya umeme yatakuwa yanatokea China kuliko sehemu nyingine duniani na yote yanamilikiwa Kwa asilimia kubwa na wachina wenyewe unaisi wajinga jinga kama ww wale
Kwa elimu gani tuliyonayo watu wanahisi kuwa uwekezaji WA viwanda kwenye nchi unakuja sababu watu wa kufanya kazi wapo watu wakifungua kiwanda cha kuunda chuma wakahitaji watu wenye elimu ya chuma ata 2000 watapatikana au ndyo Hadi tuagize wahindi kutoka nje waje
Hapo hapo Urusi kama exchange rate anakula faida kama hujui finance kaa kimyaHiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
Saivi na ngano pia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hilo ni kama teke la kuku!! There is no turning back!! Thamani ya pesa hubebwa na thamani ya bidhaa ambazo nchi huuza kwenye soko la dunia!
Thamani ya ruble inabebwa na thamani ya gesi na mafuta na uhitaji wa bidhaa hizi kwenye soko la dunia. Na kwa sasa ili uzipate kwa nchi za magharibi ni lazima uitafute ruble!! Watasubiri sana kudhani ruble itashuka thamani!
Ukisusia mafuta na gesi ya urusi kuinunua moja kwa moja toka urusi lazima utainunua kupitia nchi ya tatu kwa bei ya juu zaidi!!
Hvi hujui kama kuna biashara kubwa sana kati ya urusi, china na India kwa sasa? Hapo zinatumia pesa zao za ndani!Wachina na wahindi wakichukua rubble watazipeleka wapi?
Wewe utakuwa UNAKATA GOGO huwezi kukosa akili kiasi hiki yaani una hela halafu unajiuliza utatumieje? Kawaulize NATO wanaolazimika kubadili fedha zao into rubble ili iwe na mantiki mbele ya PUTINWachina na wahindi wakichukua rubble watazipeleka wapi?
lumumbaHiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?