Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hata US na Ulaya wanawekeza AI, pia China ina watu wengi sana kuwekeza huko inaweza ikawa tatizo lingine la ajira, labda wapunguze population yao.
Mkuu china inawekeza kwenye robots na AI hii itafanya production cost iwe chini..... Bila kujali kuongezeka kwa GDP