Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa sababu wanaweza kufanya biashara bila vikwazo.
Kwani US dollar na Pesa zingine Kwanini Zinatumika Nje ya Nchi zao ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani US dollar na Pesa zingine Kwanini Zinatumika Nje ya Nchi zao ?
Kwani hao UE 40 countries hawazihitaji rubble??
Kwenye uchumi wake upi Mkuu??,au unataka kusema kwamba uchumi wake ni mdogo??
Mbona hata yetu hatuitumii popote nje ya bongo. Kikubwa uchumi wa warusi uimarike kupitia fedha yao
Ruble iko pegged to gold, dollar iko pegged to Nini?
paundi ya muingereza haitumiki sana nje Zaidi ya palepale UK lakini inathamani kubwa kuliko dollar au euro...hii kitaalamu kwani imekaaje?
Putin ana utajiri wa dola bilioni 200
Issue ya kiachana na mafuta,itafanikiwa miaka 30 ijayo.
Ungekuwa unafahamu financial markets zinavyofanya kazi usingeuliza swali kamma hili. Maana Kama ruble itazidi kupaa Ina maanaa mataifa mengi yataaanza kuitaji kuitumia ..
China is the Industry of the World.., pale production ya ulimwengu ndipo inapofanyika..., Production needs Energy / Nishati and cheap energy will lower production costs....,
Wewe ukienda pale kununua vitu vyako watachukua dollar yako na rubble yako pia kama unayo (sababu it means cheap energy) na hio dollar yako wataendelea kuwa nayo deposit (ukizingatia hata sasa wanayo ya kumwaga)...,
Kama pesa yako inamaanisha cheaper products kwako basi watu wataitafuta tu pesa yako..., ndio maana mchina haya mambo ya currency yake kuwa na gharama sana aliachana nayo na alishalaumiwa kwa makusudi ku-devalue currency yake ili always iwe cheaper than dollar which means cheaper products....
Mataifa yanapambana kutoka kwenye huo mfumo wa fedha sijui SWIFT Ina maaana fedha za Russia na mataifa mengine wataweza kufungua mipaka na kuifanya baisha hata Hadi huku Africa, labda USA na wenzake watumie mbinu chafu mfano kuanzisha vurugu, vikwazo ili kuua Izo movement .. otherwise kila kitu kinawezekana. Kwani wewe ukiwa na ruble saiv huwezi kuitumia?
Unajua unachokiongea !!!?????
Kwanini America hizo industry hasiziweke kwake au unadhani anamfanyia hisani China ?!!, In short walijaribu kurudisha Apple plant America ila ni kwamba haiwezekani, huwezi uka-beat production cost ya China..., China was once a Giant, who slept and now the Sleeping Giant is awakening, there has been a slow but gradual shift of economic power from west to east..., hata kabla ya hizi shenanigans, de-dolarization was already a thought.... Na hapa simaanishi Russia as the only Player ingawa yeye kwa malighafi zake akiwa bega kwa bega na hawa jamaa it will be a marriage made in heaven...
Unaongea nini mkuu labor laws na unions zote duniani hazina meno kama zamani ndio system ya demand and supply..., tofauti ya China has a One Party State wanachoamua kinakwenda sio kama nchi nyingine watu kuanza kubishana Bungeni na wananchi kugoma na kuandama..., Hili China halipo..., Kule ndio msemo wa Kazi iendelee..., ni kweli inaendelea..., China being the World manufacturer haijaja kwa bahati mbaya..., many things zinachangia ikiwe cultural attitudes...
Sasa naona tumehamia kwenye stories za Gahawa...., unadhani zile kazi ambazo zinaenda China au production kufanyika China America wanapenda ? Kunda industries nyingi ambayo America ilikuwa inaongeza ila mchina amechukua, na bado kufanya kwake biashara na Africa na kutoa misaada without question asked ni threat kwao...
Make no mistake urafiki wao ni wa convenience, na huwezi kushindana na mchina mtu ambaye wananchi wao wamezoea / wameishi kwenye maisha ya kawaida miaka na miaka, kwao shida ni kawaida tofauti na wala Bata (western countries) na hicho China ndio anachowashindia na atakachoendelea kuwashindia yaani kama America ni Prima Donna basi China ni Grafter....
Mkuu china inawekeza kwenye robots na AI hii itafanya production cost iwe chini..... Bila kujali kuongezeka kwa GDPItafika mahali uchumi wa China utaelekeza wafanyakazi wa China wapate malipo sawa na wenzao wa Ulaya na Marekani. Siku cheap labour ikikata China watu wataibukia kwingine duniani kuweka viwanda vyao.
Ww jamaa umejaa makamasi kichwani badala ya ubongo yaani watu wana kuelewesha lakini bado umekaza kichwa tu kwenye hamna.
Alafu aliye kwambia Urusi inataka pesa yake itumike dunia nzima ninani?lengo kuu la Urusi ni kulinda thamani ya sarafu yake kwa manufaa ya raia wake na sio ww.
Kwanza lengo la kwanza la nchi za magharibi lili kuwa ni kuyafanya maisha ya raia wa Urusi kuwa magumu na ili raia waichukie serikali yao ili kusababisha machafuko.
Na ili hilo lifanikiwe walilenga kuuwa thamani ya pesa ya Urusi ili kusababisha mfumuko mkubwa sana wa bei, lakini hilo limeferi vibaya sana badala yake mfumuko wa bei umehamia kwenye nchi zao.
Aisee unachoongea ni ukweli mtupu Kuna channel inaitwa CGTN documentary inaonesha maisha halisi ya serikali ya china na raia wa China walivyo ni hivyo hivyo unavyoongea vijana nahisi hawafahamu ilo . Kule wakisema zero covid[emoji1] hakuna kuandamana hio tayari imeshapitishwa kinachobaki ukelezaji tofauti kubwa sana na zinazoitwa Democratic state Mara walumbane bungeni paka wakubaliane muda mwingi utakuwa umepita
Unakumbuka walichomfanya jack ma [emoji1] hatorudia tena China[ CPC ] ni kubwa kuliko mtu yoyote pale china hata huyo Xi Jinping so lolote mbele ya china na chama cha CPC .labda mzimu wa Mao Zedong ndio mkubwa kuliko mtu yoyote pale china . Mtu yoyote atakaye jifanya mkubwa kuliko china na chama cha CPC lazima ale kibano. Huyo jack ma ni mtoto waliomlea wenyewe China[ CPC] hawezi kuwasumbua hata kidogo[emoji1] .kamsome yule tajiri fisadi bao xilai China[CPC ] walimfanya nini sembuse kidagaa jack ma ambaye Hana influence kubwa china[emoji1]
Rubble unaipimia Tanzania [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mbona hili ni jambo la kuchekesha.
Kumbuka 1991 baada ya kuanguka Soviet, walijiondoa au kupunguza kufanya biashara na nchi nyingi za kiafrika.
Ila kuanzia 2010 walianza comeback na uwekezaji mkubwa ulifanyika Misri.
Ila walikuwa na plan kuingia maeneo mbali mbali ya Afrika.
Nafikiri unafahamu kinachotokea afrika ya kati, Mali, Niger mpaka Tchad.
Ukiona hata like Moja huna ujue ulichozungumza siyo kabisa. Ujue brics ilishaliweka hili jambo la kuitumia fedha mbadala katika vikao vyake vya mwanzo Kama unakumbukumbu za vikao vyao. Kwa hiyo hii ni utelezaji wa mpango huo. Kwa rasilimali ilizo nazo Urusi usitegemee fedha Yao ishuke. Licha ya mafuta na gesi ni wauzaji wakubwa wa mbolea duniani hata Amerika anategemea mbolea Yao. Ni wauzaji wakubwa wa mazao ya kilimo, mbao n.k. Vitu vyote hivyo haviepukiki duniani.