Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

China is the Industry of the World.., pale production ya ulimwengu ndipo inapofanyika..., Production needs Energy / Nishati and cheap energy will lower production costs....,

Wewe ukienda pale kununua vitu vyako watachukua dollar yako na rubble yako pia kama unayo (sababu it means cheap energy) na hio dollar yako wataendelea kuwa nayo deposit (ukizingatia hata sasa wanayo ya kumwaga)...,

Kama pesa yako inamaanisha cheaper products kwako basi watu wataitafuta tu pesa yako..., ndio maana mchina haya mambo ya currency yake kuwa na gharama sana aliachana nayo na alishalaumiwa kwa makusudi ku-devalue currency yake ili always iwe cheaper than dollar which means cheaper products....
You kill it😄👍
 
Unaongea nini mkuu labor laws na unions zote duniani hazina meno kama zamani ndio system ya demand and supply..., tofauti ya China has a One Party State wanachoamua kinakwenda sio kama nchi nyingine watu kuanza kubishana Bungeni na wananchi kugoma na kuandama..., Hili China halipo..., Kule ndio msemo wa Kazi iendelee..., ni kweli inaendelea..., China being the World manufacturer haijaja kwa bahati mbaya..., many things zinachangia ikiwe cultural attitudes...
Aisee unachoongea ni ukweli mtupu Kuna channel inaitwa CGTN documentary inaonesha maisha halisi ya serikali ya china na raia wa China walivyo ni hivyo hivyo unavyoongea vijana nahisi hawafahamu ilo . Kule wakisema zero covid😄 hakuna kuandamana hio tayari imeshapitishwa kinachobaki ukelezaji tofauti kubwa sana na zinazoitwa Democratic state Mara walumbane bungeni paka wakubaliane muda mwingi utakuwa umepita
 
Sasa naona tumehamia kwenye stories za Gahawa...., unadhani zile kazi ambazo zinaenda China au production kufanyika China America wanapenda ? Kunda industries nyingi ambayo America ilikuwa inaongeza ila mchina amechukua, na bado kufanya kwake biashara na Africa na kutoa misaada without question asked ni threat kwao...

Make no mistake urafiki wao ni wa convenience, na huwezi kushindana na mchina mtu ambaye wananchi wao wamezoea / wameishi kwenye maisha ya kawaida miaka na miaka, kwao shida ni kawaida tofauti na wala Bata (western countries) na hicho China ndio anachowashindia na atakachoendelea kuwashindia yaani kama America ni Prima Donna basi China ni Grafter....
You kill it 😄👍 hivi kwanini vijana wanamchukulia china Kama kikaragosi wa U.S.A na West Europe wakati sivyo🤔?
 
Unakumbuka walichomfanya jack ma 😄 hatorudia tena China[ CPC ] ni kubwa kuliko mtu yoyote pale china hata huyo Xi Jinping so lolote mbele ya china na chama cha CPC .labda mzimu wa Mao Zedong ndio mkubwa kuliko mtu yoyote pale china . Mtu yoyote atakaye jifanya mkubwa kuliko china na chama cha CPC lazima ale kibano. Huyo jack ma ni mtoto waliomlea wenyewe China[ CPC] hawezi kuwasumbua hata kidogo😄 .kamsome yule tajiri fisadi bao xilai China[CPC ] walimfanya nini sembuse kidagaa jack ma ambaye Hana influence kubwa china😄
Sawa ila ata Jack Ma alivo pata hela ikawa hivo
 
Hiyo pesa ataitumia wapi nje ya urusi?
Utajua tu baadae, kwa sasa mafuta yana nunulika sio kwa dollar tu na hili jambo ni kwenye mafuta bado halijavuka kuja kwenye utumiaji Yani kupitia hiki kinacho endelea na nchi zingine zinazo zalisha bidhaa kuhoji uuzaji wa bidhaa zao kwa pesa ya dollar. Dollar itakosa nguvu pale tu itakapo pata mshindani kwenye ununuzi wa bidhaa zingine sokoni licha ya mafuta. Mfano China nae aje aseme kuwa, nchi yoyote na mtu yoyote ananunuae bidhaa China atatumia pesa yao Yuan kwa hilo vita itakuwa kubwa sana.
 
RF forces advanced South-West of Donetsk and took control of Novodarivka,Pryyutne and Stepove.Making an attempt to encircle Hulyaipole an important hub.RF also took advanced around Popasnaya and took control of Volodymyrivka and Trypillya.RF forces reached Troits'ke. https://t.co/aWJwno7gZH
 


Putin ni kichwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Putin is not going to be defeated. The countries putting on sanctions constitute 15% of the world population. The other 85% say this is hurting everybody. We're just escalating and we're not thinking because none of this has a decent outcome.” — Jeffrey Sachs https://t.co/vLq5CiQ5dh
 
Utajua tu baadae, kwa sasa mafuta yana nunulika sio kwa dollar tu na hili jambo ni kwenye mafuta bado halijavuka kuja kwenye utumiaji Yani kupitia hiki kinacho endelea na nchi zingine zinazo zalisha bidhaa kuhoji uuzaji wa bidhaa zao kwa pesa ya dollar. Dollar itakosa nguvu pale tu itakapo pata mshindani kwenye ununuzi wa bidhaa zingine sokoni licha ya mafuta. Mfano China nae aje aseme kuwa, nchi yoyote na mtu yoyote ananunuae bidhaa China atatumia pesa yao Yuan kwa hilo vita itakuwa kubwa sana.
US anamiliki uchumi wa China yenyewe na hata china hawezi kushirikiana na urusi. Hata kwenye hii vita anacheza mbali. US anayo sapoti ya ulaya hivyo ataendelea kuwatawala hao wengine wote. Usd ipoipo sana.
 
[emoji91][emoji91][emoji91]The territory of "Azovstal" is completely liberated - Russian Defense Ministry[emoji91][emoji91][emoji91]urraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mbona huelewi? Ukiwa na rubble hapa tz hata kupata bureau ya kubadilisha ni utata. Sasa utaitumia wapi?
Rubble unaipimia Tanzania [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mbona hili ni jambo la kuchekesha.

Kumbuka 1991 baada ya kuanguka Soviet, walijiondoa au kupunguza kufanya biashara na nchi nyingi za kiafrika.
Ila kuanzia 2010 walianza comeback na uwekezaji mkubwa ulifanyika Misri.

Ila walikuwa na plan kuingia maeneo mbali mbali ya Afrika.

Nafikiri unafahamu kinachotokea afrika ya kati, Mali, Niger mpaka Tchad.
 
Kwa hili walilofanya wanauchumi wa Urusi ipaswe kusema wameupiga mwingi. Coz bila wao kumshauri Colonel Putin kuhusu ununuzi na uuzaji w mafuta kwa rubble leo Urusi ingeshachafuka kwa ubovu was uchumi
 
Back
Top Bottom